Kutoka Singida hadi Dar es Salaam kwa matumaini ya kupata msaada wa elimu

Ameen, nitalifanyia kazi mkuu naamini ipo siku atajibu
 
Mkuu honger Sana na pia pole kwa changamoto za mausiano hV bado una power ya kumuingiza mtu kazini mnk nimekwama mkuu nisaidie nisame kazini
 
Duh pole kaka na hongera kwa kushinda mitihani yako,kifupi Mungu anakupenda Sana ,dah historia yako ni movie tosha,njoo kwang mim tuyajenge haha sitokuumiza na hutojutia
Ahsante ndugu yalishapita japo ndio hivyo sitasahau
 
Guys muwe makini.

Huyu Ugumu wangu amenighilibu na kunitapeli pesa. Nachelea kusema hafanyi kazi huko kwenye idara za usalama kama anavyojinasibu.

Nimeweka picha yake na mpitie hiyo thread hapo chini mjue kilichotokea.

 
Tapeli hili ..asakwe popote alipo afungwe jiwe shingoni atupwe baharini
 
Unfortunately, huu uzi nimeuona wakati ambao mda umeenda. Naamini Mungu alishakupa mwenza wa maisha. Otherwise, tungeweza kushauriana.

Mungu azidi kukusimamia mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…