Kutoka St. Peter's Church Jijini Dar es Salaam

Kutoka St. Peter's Church Jijini Dar es Salaam

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.

Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
 
Back
Top Bottom