Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio upo sahihiInawezekana amesali kanisa lingine, kwani kanisa katoliki ni St. Peters peke yake?
Duniani Kuna Mambo!Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
Means na leo tena rafiki yangu "Johnstone" hajaendaSwali gani, angekuwepo angeanza kutaja kanisa?[emoji19]
Mmevaa barakoa za ktengenezwa?Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
Juma pili ya mitende ama?Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
Atakua yupo kwa oksijeni.Hakuwepo, shauku ya waumini kumuona imepotea ghafla.
Yule kiongozi anaepanda altare n kuinajisi alikuepo leo?Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
Maisha yako kasi sana aisee, kwamba zilianza kama tetesi saivi jiwe liko kwenye kibanda cha mabati limefunikwa na nyasi kavu..maisha ni temporary na binadamu hatuna maanaKanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
Life is too short,ya nini kujiumiza moyo kwa kubeba roho mbaya,visasi,jazba,chuki,choyo na hasira zisizo na maana wakati tunajua kabisa mioyo yetu inasukumwa na umeme.Maisha yako kasi sana aisee, kwamba zilianza kama tetesi saivi jiwe liko kwenye kibanda cha mabati limefunikwa na nyasi kavu..maisha ni temporary na binadamu hatuna maana
kifo hakikimbiwiVipi? Alitokea?