peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hehehehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?? Takataka weweMods ondoa hii Tafadhali!
Kabisa,tusubirie..
Wanaofahamu yote haya ni DPC Msigwa,mpambe wake,Hassan Abbasi,Makamu,PM na usalama wake.
Hizi ndizo zinaitwa siri za Taifa
Anapenda attention na mbwembwe[emoji23]..Ni kweli. Inawezekana anapenda kuwa-suprise watu kwa njia kama hizi. Nakumbuka hata kile kisanga cha watu kusema kafa 2019, alipojitokeza Ikulu na kutembeza bakuli la vitafunwa kwa wageni, alikuwa anafurahia sana ile hali. Alikuwa anapita kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, kwa unyenyekevu na alinyeonyesha ku-enjoy kwa kila hali.
Hakika Chief..Watu wapo kazini, wanapima tu uwezo wa kutunza siri za serikali.
Hatari.
So tatizo sasa hizi ni Oxygen volatility?? Hatari sanaOxygen saturation yake sio mbaya sana ina range 95 hadi 75 kwa siku mbili hizi jana ilikua 100 haikudumu kwa masaa 5 ikashuka tena ndugu zangu..
Vip mkuu vumilia tu.. kisu kimekita mfupa?Mods ondoa hii Tafadhali!
Siri is a metaphorWatu wapo kazini, wanapima tu uwezo wa kutunza siri za serikali.
Hatari.
Mkuu..huyu chukizo la wananchi hajafika hapo??Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
utoto gani tena kwani mbaka akajitangaza kuwa anaweza kua kiongozi wa malaika tulimtuma sisi?Hebu tuacheni utoto, binadamu ni binadamu. Wote tunaishi kwa uzima na magonjwa, kuwaita baadhi ya binadamu "Vyuma" ni kukufuru.