Kutoka St. Peter's Church Jijini Dar es Salaam

Kutoka St. Peter's Church Jijini Dar es Salaam

Huyu alipata laana siku ile alivowambia masista wamevaa barakoa na kuwananga ,inaelekea walimsalia Novena.Huwezi kwenda kanisani alaf ukawasengenya watumish wa Mungu ni laana
Kweli aisee aligeuza nyumba ya bwana kuwa jukwaa lake la siasa . Alilipanda kanisa kichwani
 
Leo ni siku ya tatu,vipi amefufuka alivyosema?

Tunatishana sanaaa ndugu zangu
JPM 2021
 
Time will tell. Leo kanisani hawezi kuwepo ila jamaa anapumua.
Hii issue imeonyesha Tanzania hatuna media kabisa. Nchi nyingine kwa kutumia viashiria mbali mbali wangeweza kujua kinachoendelea. Unaweza kuweka waandishi fukunyuzi (wakajjicha kijasusi) area muhimu kama maeneo ya Ikulu. Hospitali ya Kitengo na sehemu nyingine na ukaja na jibu. BTW kila mtu ana theory yake. Kuna anayesema ameambiwa na waziri kuwa jamaa amefunga kwaresma na amejifungia, kuna anayesema anachapa kazi, kuna anayesema kafa, kuna anayesema ni mgonjwa. Kila mtu na lake. Jambo lililo dhahiri ni kuwa hata mawaziri wengi hawajui kinachoendelea. Inaonekana inner circle ya Magufuli ndiyo inajua na ni wachache sana na wengi ni watu wa usalama kutoka ukanda wake.
 
Hii issue imeonyesha Tanzania hatuna media kabisa. Nchi nyingine kwa kutumia viashiria mbali mbali wangeweza kujua kinachoendelea. Unaweza kuweka waandishi fukunyuzi (wakajjicha kijasusi) area muhimu kama maeneo ya Ikulu. Hospitali ya Kitengo na sehemu nyingine na ukaja na jibu. BTW kila mtu ana theory yake. Kuna anayesema ameambiwa na waziri kuwa jamaa amefunga kwaresma na amejifungia, kuna anayesema anachapa kazi, kuna anayesema kafa, kuna anayesema ni mgonjwa. Kila mtu na lake. Jambo lililo dhahiri ni kuwa hata mawaziri wengi hawajui kinachoendelea. Inaonekana inner circle ya Magufuli ndiyo inajua na ni wachache sana na wengi ni watu wa usalama kutoka ukanda wake.
Mwamba yawezekana hajaumia hata ukucha, anawacheki tu na kusema hiiiiiiii 😁

Everyday is Saturday................................😎
 
Hii issue imeonyesha Tanzania hatuna media kabisa. Nchi nyingine kwa kutumia viashiria mbali mbali wangeweza kujua kinachoendelea. Unaweza kuweka waandishi fukunyuzi (wakajjicha kijasusi) area muhimu kama maeneo ya Ikulu. Hospitali ya Kitengo na sehemu nyingine na ukaja na jibu. BTW kila mtu ana theory yake. Kuna anayesema ameambiwa na waziri kuwa jamaa amefunga kwaresma na amejifungia, kuna anayesema anachapa kazi, kuna anayesema kafa, kuna anayesema ni mgonjwa. Kila mtu na lake. Jambo lililo dhahiri ni kuwa hata mawaziri wengi hawajui kinachoendelea. Inaonekana inner circle ya Magufuli ndiyo inajua na ni wachache sana na wengi ni watu wa usalama kutoka ukanda wake.
Kabisa,tusubirie..

Wanaofahamu yote haya ni DPC Msigwa,mpambe wake,Hassan Abbasi,Makamu,PM na usalama wake/wasaidizi.

Hizi ndizo zinaitwa siri za Taifa
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa mkuu wachache sana tutakuelewa
Tunatishana Sana
Wengine Siyo Waandishi Wa Habari Utawasikia Vigogo Wafa!!
😅😄😄😄😃😂😁😀😀😃😃
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Mwamba yawezekana hajaumia hata ukucha, anawacheki tu na kusema hiiiiiiii 😁

Everyday is Saturday................................😎
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha
😅😄😃😃🤣😂😁🤣😂😃😄😅😄
 
Mwamba yawezekana hajaumia hata ukucha, anawacheki tu na kusema hiiiiiiii 😁

Everyday is Saturday................................😎
Ni kweli. Inawezekana anapenda kuwa-suprise watu kwa njia kama hizi. Nakumbuka hata kile kisanga cha watu kusema kafa 2019, alipojitokeza Ikulu na kutembeza bakuli la vitafunwa kwa wageni, alikuwa anafurahia sana ile hali. Alikuwa anapita kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, kwa unyenyekevu na alinyeonyesha ku-enjoy kwa kila hali.
 
Hizi nyuzi huwa sipendi kukurupuka. Kuanzia ile siku Kim Jong Un anadaiwa kama kuna watu walishadadia as if walikuwa wafanyakazi wa ikulu ya North Korea. Walikuwa wanasema kwa uhakika kabisa kuwa kafa

Ikaja siku mara Jiwe kakimbizwa Ujerumani na ndege. Picha kutoka FlightRadar24 zikaletwa kuwa private jet ilienda direct. Wakaja watu wanadai wanatokea jikoni wanasema kila mtu anavyoweza wengine eti pacemaker imesumbua, wengine eti kapigwa kipapai.

Sasa ajabu ni walewale wanaendeleza kutoa feedback na wanadai "nina kaka yangu mwandamizi kwenye kitengo kasema...."
Kama uliwahi kosea twice leo unanishauri vipi nikuamini. Tangazo mlisema litatoka jana, mbona mpaka sasa kimya?

Mtu mwenyewe mnayemtegemea amewauliza tanpol mbona hawamshtaki na mzee msaliti wa kakofia. Kwangu hii naitafsiri kama: sawa nimeiba ila sikuwa peke yangu.
 
Si useme tu hakuna maulinzi ya kutisha na badala yake ulinzi ni toka kwa malaika wakuu walinzi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.

Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
 

Attachments

  • IMG_20210314_083654.jpg
    IMG_20210314_083654.jpg
    91.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom