Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Usisahau kuni tagAcha masihala siku hizi kanisani wanachati JF, ngoja niendelee kuskiliza TBC watuletee hotuba ya moja kwa moja ya mpendwa wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kuni tagAcha masihala siku hizi kanisani wanachati JF, ngoja niendelee kuskiliza TBC watuletee hotuba ya moja kwa moja ya mpendwa wetu
Hahaha,Huyu alipata laana siku ile alivowambia masista wamevaa barakoa na kuwananga ,inaelekea walimsalia Novena.Huwezi kwenda kanisani alaf ukawasengenya watumish wa Mungu ni laana
Meko yupo?
Inawezekana amesali kanisa lingine, kwani kanisa katoliki ni St. Peters peke yake?Jamaa yuko kanisani?
kweli inawezekana Leo kaenda moja kwa moja Heaven Parish kuhudhuria ibada na watakatifu mailaika,Inawezekana amesali kanisa lingine, kwani kanisa katoliki ni St. Peters peke yake?
Makanisa yote Dar hajaonekana. Dr Abbas msemaji wa serikali leo inawezekana aendelee kukaa tena kimya?kweli inawezekana Leo kaenda moja kwa moja Heaven Parish kuhudhuria ibada na watakatifu mailaika,
Tunasubiri update,
cc tbc
kabisaKuna msemo "Yule achekaye mwisho hucheka zaidi".
kuna kaukweli kwa mbaliHuyu alipata laana siku ile alivowambia masista wamevaa barakoa na kuwananga ,inaelekea walimsalia Novena.Huwezi kwenda kanisani alaf ukawasengenya watumish wa Mungu ni laana
Hakika hao hawajui exactly wapi mzee yupo, Kuna inner circle yake ambao sio Public figure wala hawawezi kuonekana popote, Hao uliowataja ni Wapenda publicity afu kwenye Mifumo ukiona mtu yupo front jua hafai kuaminika those you mentioned are politicians Hawana VifuaqKabisa,tusubirie..
Wanaofahamu yote haya ni DPC Msigwa,mpambe wake,Hassan Abbasi,Makamu,PM na usalama wake/wasaidizi.
Hizi ndizo zinaitwa siri za Taifa
hata kwa Gwaji boy hajaenda ?Makanisa yote Dar hajaonekana. Dr Abbas msemaji wa serikali leo inawezekana aendelee kukaa tena kimya?
Unataka sema?Oxygen saturation yake sio mbaya sana ina range 95 hadi 75 kwa siku mbili hizi jana ilikua 100 haikudumu kwa masaa 5 ikashuka tena ndugu zangu..
Askofu ni nani mbele ya chaguo la Mungu?Roma ikesema imesema. Huwezi kubishana na Askofu aliyejitoa na kuacha ya Dunia ukashinda. Viongozi wa kiroho huwa wana sala ya mwisho tofauti na viongozi wa dini.
Siku zote hizo asitokee kwenye kameraMwamba yawezekana hajaumia hata ukucha, anawacheki tu na kusema hiiiiiiii [emoji16]
Everyday is Saturday................................[emoji41]
Hakuna kitu kama hichoWatu wapo kazini, wanapima tu uwezo wa kutunza siri za serikali.
Hatari.
Hakuwepo, shauku ya waumini kumuona imepotea ghafla.Mkuu..huyu chukizo la wananchi hajafika hapo??
Oooh ok Mkuu..Basi yupo eneo maalumu sana iseeeHakika hao hawajui exactly wapi mzee yupo, Kuna inner circle yake ambao sio Public figure wala hawawezi kuonekana popote, Hao uliowataja ni Wapenda publicity afu kwenye Mifumo ukiona mtu yupo front jua hafai kuaminika those you mentioned are politicians Hawana Vifuaq