Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam!!!Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
AiseeeeLabda wamfanyie surgery mtu mwenye upara
Hebu tuacheni utoto, binadamu ni binadamu. Wote tunaishi kwa uzima na magonjwa, kuwaita baadhi ya binadamu "Vyuma" ni kukufuru.Wallah nimecheka kama chizi,ila wabongo tuna mambo,
Vipi kiongozi wa malaika hajashuka kutoka mbinguni kuwapa ubarikio hapo?
Nadanganya ndugu zangu!
Ah ww ndo umenicheksha sana na hiyo emoj ..nimechekaaaJamaa gani huyo 🥵
Coona Tv! 😇 Ina miaka michache tu tangu ilipo zinduliwa.TV gan itakuwa live?
Kwa hiyo yupo au hayupo? Swali la msingi hili...Huyu alipata laana siku ile alivowambia masista wamevaa barakoa na kuwananga ,inaelekea walimsalia Novena.Huwezi kwenda kanisani alaf ukawasengenya watumish wa Mungu ni laana
Meko.Jamaa gani huyo 🥵
Kutoka St. Peter's Church Jijini Dar es Salaam, mwenye picha ,au kufahamu kinachoendelea huko atupatie tafadhali. TBC wako huko ?Ukifika wakati wa kukomyika utupe updates tafadhali
Time will tell. Leo kanisani hawezi kuwepo ila jamaa anapumua.Kutoka St. Peter's Church Jijini Dar es Salaam, mwenye picha ,au kufahamu kinachoendelea huko atupatie tafadhali. TBC wako huko ?