Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Jamaa yuko kanisani?Kanisa leo linaazimisha Dominika ya 4 tangu kuanza Kwaresma ambapo kimsingi siku hii huaminika ni kama siku ya furaha huku tufukia mwishoni mwisho mwa safari ya siku 40 za maombolezo ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristu.
Waumini ni wengi sana na ibada inaendelea.
Swali gani, angekuwepo angeanza kutaja kanisa?[emoji19]Jamaa yuko kanisani?
Jamaa gani huyo π₯΅Jamaa yuko kanisani?