Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Kila mtanzania ana bima ya afya,pesa mtatoa wapi?milioni hamsini kwa kila kijiji,wavuvi kununuliwa boti na majokofu,kila wilaya kujengewa chuo cha ufundi,huyu anatudanganya
 
Mpaka hapa naanza kuona kama muhongo ana akili kuliko wote...yeye alisema kupigana madongo hakutawatoa watanzania kwenye umasikini!

Yani wengi kupigana madongo utafikiri ndo yanasaidia kupunguza umaskini nchi hii. Hawa watia nia sijui wakoje nao. Mhongo si anajielewa.
 
Jamaa yupo vizuri sana bt kamfumo ketu Kanawa favor dini ingine ile, wewe waweza kuwa Waziri kamili wa Tamisemi ijayo.
 
We wakuja fani za watu hizi unafikiri siku hizi watu wanasoma makaratasi kama lowassa.

Mkuu naomba nimsaidie ndugu yetu. Mtangaza nia anatumia "autocue" au "teleprompter". Kwa hiyo Mkuu Emma usibishe, kubali ueleweshwe.
 
Kwani Dr.Slaa anavyotoa ahadi uwa anasema pesa atatoa mfukoni kwake?
 
Tuchague kiongozi ambaye hatokuwa na deni lolote la kulipa...
 
ila wakifufua reli mambo yatakuwa safi sana kiuchumi
 
Yani wengi kupigana madongo utafikiri ndo yanasaidia kupunguza umaskini nchi hii. Hawa watia nia sijui wakoje nao. Mhongo si anajielewa.

M/kiti wao aliwaambia wasichafuane watashindwa kuombeana kura!..
 
Vijiji elfu 12 hivi
 
Kwa ahadi hiz tanzania itakuwa juu kuliko hata marekani
 
Hata wewe wa kuja tu umekuja mjini hauna hata miaka mitano mjini kutoka Morogoro halafu unatakiwa uniheshimu mimi shemeji yako kauzu wewe.

Hahahahahah leo nimekuwa sio mkinga tena? Unganisha unganisha kuna siku utapatia..
 
Nipo namsikiliza mgombea uraisi January Makamba kupitia CCM na nimejifunza kitu kimoja, mipango mingi anaowaambia vijana wenzake HAITEKELEZEKI. Kama kujenga chuo cha ufundi kila wilaya na kukopesha million 50 kila kijiji kudeal na umemployment. Sidhani kama hili ni suala realistic kwa kutokomeza unemployment, mabilion ya kikwete yalienda wapi? Na je Veta mbona zipo!! turudi nyuma kidogo..unmeployment imekuwa caused na nini?
1. Mfumo wa elimu ( quality ya eduation imeshuka sana.)
2.viwanda makampuni mengi kuwepo miji mikuu 5. basi je watu kutoka mikoa yote Tanzania husafiri kuja mikoa hiii (miji) kutafuta kazi hii inaitwa push n pull factor (kwa waliosoma GS ) na kwanini vwanda makampuni yako miji hii 5? kwasababu miji hii ina easy access to port, miji hii ina maji, miji hii ina umeme wa kutosha miji hii ina infrastructure. Je? Kusolve unemployment kwa kugawa mikopo ni halisia? sio halisi..kusolve unemploment ni kutengeneza ajira. Na tutafanya hivi kwa kusolve tatizo la viwanda makampuni kusambaa Tanzania nzima kwa kutengeneza barabara. kurudisha reli, kuwepo kwa maji na umeme na kuwaconvince viwanda watapakaeee Tanzania nzima au kwenye eneo linalotoka raw materials ili watu wa mikoani wapate fursa ya kufaidika na ajira na bidhaaa za viwanda hii, na pia kodi ipunguzwe kwa viwanda hiv ili bidhaa zao zishandane na bidhaa za nje ziweze kununuliwa zaidi na watanzania kufaidi zaidi. Jamani mbona simwelewi kijana menzangu jamaniii....Nyie mnamwonaje Bandugu
 
Kikwete kaiharibu ikulu SAA hiizi Kila MTU anazani anapawezapalee so kwamba sioni January hapawezi ila January ungesubili kudogo vitu anavyo viongelea kama viturahisi na wana Ccm wanashangilia enyi watanzania vitu visiwe vinaingia kichwan kidogo kidogo ila do go huyu mnjanja atamsumbua low as a anausha wishiii Kwa mbaliiiiiii n
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…