Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Anasoma kilaza huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo anajitahidi
Anasoma speech kwenye screen zipo pembeni anatuadaa.
Nilidhani angetangaza nia ndani ya ardhi ya wapiga kura wake mkoani Tanga..!
hata akisoma hakuna tatizohasomi mahali acha kupotosha .
Kama unaelewa mambo ya events utaona tu hapo.
katika wagombea wa ccm waliotangaza nia hakuna mgombea mwenye sera za uwongo kama huyu sijui anatuona sisi ni wajinga wa kudanganywa miaka yoteEti wavuvi watapewa Boti,jamani uongo mwingine huu.imeshindikana kununua Meli tu kwenye ziwa victoria ya kwenda Bukoba,Ziwa Tanganyika,ziwa Nyasa,leo tunadanganywa wavuvi watanunuliwa boti uongo huu,kuna cha bure hapa duniani?
Hivi hawa watu wanaongea nn.
Naona aibu mimi
nimecheka sana ! unajua kitu kingine nilichogundua ni kwamba ukiacha rushwa silaha nyingine ya ccm ni uongo .Eti wavuvi watapewa Boti,jamani uongo mwingine huu.imeshindikana kununua Meli tu kwenye ziwa victoria ya kwenda Bukoba,Ziwa Tanganyika,ziwa Nyasa,leo tunadanganywa wavuvi watanunuliwa boti uongo huu,kuna cha bure hapa duniani?
hata akisoma hakuna tatizohasomi mahali acha kupotosha .
Lakini si ndio haya yalikuwa yamependekezwa katika rasimu ya katiba mpya ya mzee Warioba? Na hawa hawa akina Tanzania Mpya wakayapiga chini? Mimi nashindwa kuelewa hawa watia nia wa ccm wanataka tuwaeleweje?