Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Ana kiburi kipi na dharau zipi??? Na vyote hivo vinakuathiri vipi wewe kama Manzania wa kawaida????
Alafu ndugu yangu tulia kidogo alafu niambie tu hili, Kikwete ni mtaalam wa uchumi au Mchumi???? Ukishindwa hapo jaribu tu kutofautisha Lipumba ambaye ni Prof wa uchumi na Kikwete ni mchumi tu wa kawaida kwenye uelewa wao kuhusu mambo ya uchumi na hata upeo wao kwenye mambo ya uchumi.
kwa kifupi nchi zilizoendelea na zinazofanya kazi vizuri duniani zinatumia vizuri wataalam wao na kuwasikiliza tosha,acha tu kuwapa nafasi kwenye sehemu mbalimbali. Ukiwa na mapenzi mema na nchi yako utaacha chuki,wivu na hivo vitu vingine visivo na msingi na utawaza kuamua mazuri kwa mustakabali wa nchi yako.

Hebu nisaidie tu Obama ni mtaalamu wa nini? Na tukirudi kwetu Mkapa aliyeweza kudhibiti mfumuko wa bei ni mtaalamu wa nini?

Sidanganyiki.
 
Iv huyu January ndo yule Aliyeleta Sheria ya Mitandaoo???
 
Ati hotuba yote iko kichwani,kweli watanzania ni watu wakudanganywa,basi hata wasoma taarifa ya habari kwenye tv huwa wanakuwa na habari yote kichwani,jaribu kudanganya wengine sio hapa jf the so called HAMY-D
 
HUYU katudanyanya eti kunawili kwa nchi yetu hakutokani na mapato kwa kutoza kodi,nani kamdanganya?
Huyo msamehe hajui alisemalo, Dubai imenawiri kwasababu ya kodi? Tunataka kiongozi muadilifu na mchapakazi na anaeweka maslahi ya nchi mbele kabla yake mwenyewe.
 
Hebu nisaidie tu Obama ni mtaalamu wa nini? Na tukirudi kwetu Mkapa aliyeweza kudhibiti mfumuko wa bei ni mtaalamu wa nini?

Sidanganyiki.
Obama hana utaalam wa kitu chochote kile coz ana BA na baada ya hapo alienda Harvad law school kusomea mambo ya sheria,hakufikia phd ila wengine wanamuita Prof kwa sababu kuna wakati alipata kufundisha Chuo kikuu cha chicago(kwa marekani wanaofundisha vyuo vikuu wanautaratibu wa kuwaita associate professor.

ila nadhani hujui sifa kuu mojawapo ya obama kuwa ni researcher mzuri sana na anajua mambo mengi sana ukiacha hata mambo ya sheria na utawala. Hapa Tanzania naweza kumfananisha na January makamba kwa sababu ya hulka yake ya kupenda kutafiti na kujua mambo mbalimbali ambayo hata mengine hayaendani na fani yake.
Turudi kwa mkapa. Nadhani ndugu huwezi kukumbuka tu kuwa Mkapa alichofanya aweze kufanikiwa kiuchumi ni sera yake ya kubana sana hela na hii ilitokana na aliyemtangulia Mwinyi kuachia sana hela kiasi ambacho siku ya mwisho hela ilikosa thamani. Ndo mana hata wengi mnaliongelea hili.
Ila ndugu yangu naona unamsifia Mkapa ila tuseme leo akiingia raisi ambaye atasema nawapeleka jela watu walifanya mambo ya ajabu ikulu ataanza na nani Mkapa au Mwinyi au Kikwete?????
Nijibu kwa hili tu kwa sababu lile swali la kwanza hukunijibu.
 
Obama hana utaalam wa kitu chochote kile coz ana BA na baada ya hapo alienda Harvad law school kusomea mambo ya sheria,hakufikia phd ila wengine wanamuita Prof kwa sababu kuna wakati alipata kufundisha Chuo kikuu cha chicago(kwa marekani wanaofundisha vyuo vikuu wanautaratibu wa kuwaita associate professor.

ila nadhani hujui sifa kuu mojawapo ya obama kuwa ni researcher mzuri sana na anajua mambo mengi sana ukiacha hata mambo ya sheria na utawala. Hapa Tanzania naweza kumfananisha na January makamba kwa sababu ya hulka yake ya kupenda kutafiti na kujua mambo mbalimbali ambayo hata mengine hayaendani na fani yake.
Turudi kwa mkapa. Nadhani ndugu huwezi kukumbuka tu kuwa Mkapa alichofanya aweze kufanikiwa kiuchumi ni sera yake ya kubana sana hela na hii ilitokana na aliyemtangulia Mwinyi kuachia sana hela kiasi ambacho siku ya mwisho hela ilikosa thamani. Ndo mana hata wengi mnaliongelea hili.
Ila ndugu yangu naona unamsifia Mkapa ila tuseme leo akiingia raisi ambaye atasema nawapeleka jela watu walifanya mambo ya ajabu ikulu ataanza na nani Mkapa au Mwinyi au Kikwete?????
Nijibu kwa hili tu kwa sababu lile swali la kwanza hukunijibu.

Wewe ni kaka yake Mange? Maana unapenda kujaza gazeti kwa maswali madogo tu ya kujibu kwa para mbili tu.

Nyerere alikuwa mtaalamu wa nini? Maana sina haja ya kueleza alifanya nini.

Tafuteni mazuzu wa kuwalisha ujinga eti Tanzania inahitaji mtu wa hovyo kama Muhongo eti kisa ni mtaalam wa gesi na kama hiyo ni sababu sasa mimi nasema nchi akabidhiwe Profesa Lipumba bingwa wa uchumi.

Pls try again hapa not rechable.
 
Haujuwi? Pole sana, hata kinachoendelea nchini mwako haukijui. Nenda ka google "songo songo gas", utapata majibu.
Mama kwaiyo hiyo ya songo songo siyo gas??
na inakotumika ina tumika bure!!?
Mama au unamanisha shilingi siyo pesa ni sarafu!!?
 
1.JPG

KITUO cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Kinyerezi 1, kinatarajia kuanza kuzalisha umeme wa majaribio mwanzoni mwa mwakani, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa bomba la gesi linalotoa gesi hiyo Mtwara hadi Dar es Salaam.
Nikisemaga ccm hakuna vijana kuna mazuzu watu wana nuna ccm ni janga la Tanzania ili kijana uweze kueleweka ndani ya ccm lazima uwe zuzu!!
 
Muhogo habari nyingine ndugu yangu ata lipumba aoni ndani binafsi naona muhogo ni solution kwa watia nia wa ccm wate walio jitokeza
 
Wewe ni kaka yake Mange? Maana unapenda kujaza gazeti kwa maswali madogo tu ya kujibu kwa para mbili tu.

Nyerere alikuwa mtaalamu wa nini? Maana sina haja ya kueleza alifanya nini.

Tafuteni mazuzu wa kuwalisha ujinga eti Tanzania inahitaji mtu wa hovyo kama Muhongo eti kisa ni mtaalam wa gesi na kama hiyo ni sababu sasa mimi nasema nchi akabidhiwe Profesa Lipumba bingwa wa uchumi.

Pls try again hapa not rechable.
Duuh kweli kazi ipo. Unauliza swali nakujibu ila maswali yangu hujibu unapanic na kutoa vijembe tu.
Nilifikiri tunasaidiana na kueleweshana kumbe tayari una yako.
Asubuhi njema ndugu.
 
Tatizo mleta mada ameshindwaa kutofautisha gesi ya Songosongo na hii iliyovumbuliwa sasa, na kama anaelewa basi hizo ni chuki binafsi...
Wewe ni kijana wa ccm maana vijana wa ccm wanajulikana akili zao zipo wapi!!
 
Muhogo habari nyingine ndugu yangu ata lipumba aoni ndani binafsi naona muhogo ni solution kwa watia nia wa ccm wate walio jitokeza

Hebu nielimishe mimi Kilaza, hawa wote ni maprofesa watalaam wa fani mbili tofauti, unasema Lipumba haoni ndani kwa Muhongo sawa nakubali je na Muhongo anaona ndani kwa Lipumba?
 
quote_icon.png
By billionea alpha

Muhogo habari nyingine ndugu yangu ata lipumba aoni ndani binafsi naona muhogo ni solution kwa watia nia wa ccm wate walio jitokeza
Hebu nielimishe mimi Kilaza, hawa wote ni maprofesa watalaam wa fani mbili tofauti, unasema Lipumba haoni ndani kwa Muhongo sawa nakubali je na Muhongo anaona ndani kwa Lipumba?
Hahahahaaaaaa... Anawezaje kuwalinganisha profesa wa miamba na profesa wa uchumi?! Na anawalinganisha kwenye nini hasa?...
 
Nimemsikiliza kwa makini sana bwana january jana wakati wa kutoa hotuba yake.
Ametuvutia wengi kuonyesha nia yake ya kujenga Tanzania Mpya, lakini amenipa maswali kadhaa:
1. Ni kweli TZ ya sasa haina mifumo mizuri ya kusimamia na kuendeleza uchumi wa nchi??
2. Hivi yeye si sehemu ya Tatizo kweli?
3. Hivi historia gani inambeba kumfanya tuamini kweli atafanya anayoyaongea??
4. Je aliyoyasema na wanayosema vyama vya upinzani kuna tofauti gani? kwanini asiseme sasa tuiondoe ccm madarakani?
5. kwanini kakiacha kilimo kama sehemu kubwa ya muajiri kwa watanzania badala yake anasema ujenzi wa nyumba unaweza kuajili watu zaidi ya milioni 5 bila kutambua juhudi za NHC and kuahidi kulisupport shirika hilo badala yake ataweka kitu kingine? anajua kasoro ziko wapi??
6. Hivi vyuo vinazalisha kitu gani mpaka avijengee uwezo wa kukopesha wanafunzi?? kuanzisha mfuko wa mikopo ya wanafunzi tofauti na kubioresha uiliopo kweli ni suluhisho??

nahisi alichofanya january ni sawa na KUMCHUKUA MWANAFUNZI WA CHUO ALIYEMALIZA CHUO AU SHULE BILA KUAJILIWA UMUAMBIE JE UKIWA RAISI UTAFNYA NINI?
maelezo yake ilikuwa ni hadithi za kusadikika.....

la mwisho huwa najiuliza hizi gharama za kufanya haya wanatoa wapi??
 
Alishindwa ku control swala la mb8 je nchi ataiweza????
 
Naona wameanza na clips za kumpamba hapa.

nifah, naona basi lao lina jina la Makamba ubavumi. Upande wa mbele kwa juu kuna jina
PHP:
RAT
- CO, Ukoo wa panya!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom