Uchaguzi 2020 Kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma CCM inaenda kuweka mustakabali wa Taifa

Kwanza Kuna hatihati hata mkutano wao wa Leo usijae Maana watu watakuwa busy kufuatilia yanayojiendelea viwanja vya Jamuhuri Dodoma.
 
0p0
Utakubali kiaina, huuo ndo the world leader sema tu ahatua hela kama taifa ila tungekuwa nazo wangetuheshim tu.

Itakuwa ndiyo maana tume kosa hata timu za kucheza nazo si wiki ya simba wala ya yanga - isipokuwa kutoka Burundi.

Asiyeona ukuu wa jiwe aazime jina la mleta mada.
 
Nawai seat mbele kabisa kumsikiliza Rais wa Wanyonge Magufuli
 
Kwani si kila chama kinapewa pesa ya kufanyia kampeni? au hazitoshi?
 
Akili za darasa la saba hizi!!

Unataka utajiri wa mtu binafsi utumike wote kwa kipindi cha kampeni tu? Hujui Kuna maisha baada ya hizi figisu za kuwajaza matumaini hewa watanzania ?

Kwa hiyo CCM wanapotumia rasilimali za taifa kujinufaisha kwako mbona sio hoja ?
 
Kesho ndo unaweza kusema Kuna chama Cha kisiasa kinaenda kufungua kampeni Ila leo kilikuwa Ni kikundi cha Wahuni Wachache tu kilichokuwa na lengo la kuligawa Taifa kwa mgongo wa kufungua kampeni.
Bahati nzuri baba ako na Mama yako mdogo (wahuni wenzao) walikuwepo
 
Nasikia harmonize kaingia na mabaunsa wa kutosha
 
Katika yote hiyo namba 19 inayashughulisha sana mataifa mengi kutuonea gere kama tusipokuwa imara hapo itakuwa ndio chanzo cha migogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…