Hata tarehe 28 /10/2020 wataenda kupigia kura wasanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata tarehe 28 /10/2020 wataenda kupigia kura wasanii
Hawa wana majibu unayotakaJingalao siku za karibuni, mlimuaminisha Mzee kuwa vyama karibu vyote vya upinzani vimekufa. Na hasa baada ya viongozi wengi wa huko kufika bei. Na kwa sababu Mzee amefanya makubwa . Je bado mna msimamo huo ?!.
Na kama kweli ni hivyo. Mbona mnaogopa box la kura ?!. Na je wapinzani kuenguliwa ndiyo kusema Ccm inakubalika sana kwa wananchi ??!!.
Kama hutojali nijibu kiungwana tu [emoji120]
Free free free kuona wasanii 200+,tena under one roof!!Wasanii wote watakuwepo
Msikose show zao
Ova
Diamond platnumz na zuchu[emoji848][emoji848][emoji848]
Hayo mabilioni mnayowalipa wasanii si mngewalipa hata walimu malimbikizo yao, raisi wanyonge watanzania mpaka wafe
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
26-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..
HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hakika kwani dunia imefuata alichosema na kutenda dhidi ya covid 19Nimeona Star TV wakimnadi jiwe kwa jinsi alivyo shughulika na korosho pia Corona. Wamesema kwa Corona ni mfano wa kuigwa na dunia nzima!
Mleta mada umemdunisha jiwe. Kesho anakwenda kuweka mustakabali wa dunia!
Unadhani janga la njaa linaletwa na nzige tu. Kule Geita watu wanaishi kwa kula mananasi wake kwa Waune. Hilo ni janga la njaa. Ikifika SAA mbili usiku kila mtu Yuko nyumbani kwake ana angalia ITV,Hilo ni janga la njaa.Mara ya mwisho kusikia janga la njaa ni lini?
Serikali ya Magufuli inapambana na Covid 19 huku kilimo kikiendelea
Safi Sana,Sera madhubuti,siyo mtu unakusanya wananihii wenzako unaanza kuwasimulia hadithi za safari yako ya Nairobi Hadi ubelgiji,ama unawasimulia namna ya watu watakavyo nufaika na ushogaCCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..
HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Watanzania wengi hawajui maradha ya vyama tawala vilivyo kaa madarakani miska mingi.sasa muulize change,masele,ngeleja, Adadi rajabu watakusimulia.Safi Sana,Sera madhubuti,siyo mtu unakusanya wananihii wenzako unaanza kuwasimulia hadithi za safari yako ya Nairobi Hadi ubelgiji,ama unawasimulia namna ya watu watakavyo nufaika na ushoga
Mjini unanuka mbunye tu toka juzi,utakuta hata sehemu ya kulala hawanaWadangaji wamejaa huko washindwe wao tu
Ova
Mimi mtumishi wa Umma sijatajwa!.. sipaswi kuja kwenye Fiesta yenu?CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..
HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!