Uchaguzi 2020 Kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma CCM inaenda kuweka mustakabali wa Taifa

Uchaguzi 2020 Kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma CCM inaenda kuweka mustakabali wa Taifa

Kilichowazi na ccm wanajua ni kwamba kwanza hawakushinda Zanzibar wala bara 2015 ndio maana ya rais kutangaza vita dhidi ya upinzani alipoingia tu madarakani. Chaguzi za madiwani na wabunge walionunua wote mnakumbuka ilikuwaje. Watz wanajua nn kilitokea December mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.....
Kimsingi na ccm wanajua hakuna
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
Wakuichagua ccm na ndio chanzo cha haya yote kulazimisha kubaki madarakani kwa nguvu ya tume km alivoahidi rais lkn pia kwa nguvu ya dola km alivyosema Bashiru
 
Jingalao siku za karibuni, mlimuaminisha Mzee kuwa vyama karibu vyote vya upinzani vimekufa. Na hasa baada ya viongozi wengi wa huko kufika bei. Na kwa sababu Mzee amefanya makubwa . Je bado mna msimamo huo ?!.

Na kama kweli ni hivyo. Mbona mnaogopa box la kura ?!. Na je wapinzani kuenguliwa ndiyo kusema Ccm inakubalika sana kwa wananchi ??!!.

Kama hutojali nijibu kiungwana tu [emoji120]
Hawa wana majibu unayotaka
 
Hata zile ruzuku tuaazomlipa DJ tungejenga ofisi hadi ngazii ya kata nchi nzima na kuwalipa Viongozi wa ngazi za chini
Diamond platnumz na zuchu[emoji848][emoji848][emoji848]
Hayo mabilioni mnayowalipa wasanii si mngewalipa hata walimu malimbikizo yao, raisi wanyonge watanzania mpaka wafe

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Sera na Mikakati ya kiuchumi na kijamii ndicho wanachotaka wananchi. Niongezee kwenye Ilani ijayo ya CCM- barabara zote zinazoingia na kutoka kwenye majiji ya Dar, Mbeya,Arusha, Mwanza,Dodoma na Tanga ziwe ni njia 4 KM 20 ili miji hiyo iwe na taswira ya kimataifa. Maendeleo hayana Chama. Wapinzani mkubali kushindwa mapema. Yaishe
 
CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.

Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.

Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
26-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..

HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Hovyooo. Ujinga tu. Tbccm kwendeni huko na upupu wenu. Hamna mvuto kabisa. Sisi tunaangalia Aljazeera.
 
msisahau kueleza sera hizi mlivyozipatia...
1. Mlivyotesa watumishi waumma kwa madeni ya Helsb kupaishwa nakisha kuwanyima stahiki zao.
2. Mlivyowatesa wanafunzi Kwanjaa badala ya kuagiza Ada ilipwe kwaminajili ya chakula.
3. kuteseka Kwa wenye mawazo mbadala, wanaowakosoa kuanzia wanasiasa washindani mpaka wasanii.
4. Jinsi mlivyovifunga mdomo vyombo vya habari vinapokosoa Kwa kutumia vitisho na faini.
5. Mlivyoliweka bunge kiganjani, kulinyima sauti na kufanya maamuzi bila ridhaa ya bunge.
6. Pesa zilivyonyang'anywa kwawafanya biashara wakubwa kibabe na kwakesi zisizoeleweka Ili kujengajenga
7. Kusitisha mchakato muhimu wa katiba mpya licha ya uhitaji napesa nyingi kutumika hapo awali.
8. Mlivyoiporomosha sekta binafsi ili sirikali iongoze kilajambo nakushika uchumi wa wananchi.
9. Kiongozi anavyobagua maendeleo maeneo ya washindani na kuwaambia wananchi 'wasikosee tena kuchagua' ikiwa nikauli ya kuwatisha.
10. Taasisi kusumbuliwa na kamati za siasa wakati tulielezwa siasa nimpaka kipindi cha uchaguzi.
11. Maendeleo na ujenzi kukimbizwa zaidi chatto nakanda yaziwa mwanza nk.
12. Kushindwa kuendeleza ruzuku kwa wakulima nakushindwa kutafuta masoko kwamazao yao.
13. Kudharau jitihada zilizofanywa na watangulizi na kuwaona walihujumu taifa kwakuruhusu 'tukaibiwa mmno' nakwanini wao hawashtakiwi kwauhujumu uchumi Kama wengine?
Hayo 13 kwanza mengine yatafuata
 
Leo ni meendo wa Nyundo dhidi ya Spana
 
Watanzania wanalala,wanaamkia na wanashinda njaa, KANU ilianza hivyo hivyo na ilipotea hewani
Mara ya mwisho kusikia janga la njaa ni lini?
Serikali ya Magufuli inapambana na Covid 19 huku kilimo kikiendelea
 
Nimeona Star TV wakimnadi jiwe kwa jinsi alivyo shughulika na korosho pia Corona. Wamesema kwa Corona ni mfano wa kuigwa na dunia nzima!

Mleta mada umemdunisha jiwe. Kesho anakwenda kuweka mustakabali wa dunia!
Hakika kwani dunia imefuata alichosema na kutenda dhidi ya covid 19
 
Mara ya mwisho kusikia janga la njaa ni lini?
Serikali ya Magufuli inapambana na Covid 19 huku kilimo kikiendelea
Unadhani janga la njaa linaletwa na nzige tu. Kule Geita watu wanaishi kwa kula mananasi wake kwa Waune. Hilo ni janga la njaa. Ikifika SAA mbili usiku kila mtu Yuko nyumbani kwake ana angalia ITV,Hilo ni janga la njaa.
 
CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.

Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.

Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..

HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Safi Sana,Sera madhubuti,siyo mtu unakusanya wananihii wenzako unaanza kuwasimulia hadithi za safari yako ya Nairobi Hadi ubelgiji,ama unawasimulia namna ya watu watakavyo nufaika na ushoga
 
Safi Sana,Sera madhubuti,siyo mtu unakusanya wananihii wenzako unaanza kuwasimulia hadithi za safari yako ya Nairobi Hadi ubelgiji,ama unawasimulia namna ya watu watakavyo nufaika na ushoga
Watanzania wengi hawajui maradha ya vyama tawala vilivyo kaa madarakani miska mingi.sasa muulize change,masele,ngeleja, Adadi rajabu watakusimulia.
 
CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.

Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.

Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..

HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mimi mtumishi wa Umma sijatajwa!.. sipaswi kuja kwenye Fiesta yenu?
 
Back
Top Bottom