Tunaongoza hukoo.Sina dada ebu nijuze
Hata wew ile ya nkana hukuonekanaHalafu mechi ya mashujaa hukuonekana hapa. πππ
Hahahaa. Kama nakuona. Haya pole Dada.Hahhaha kaniudhi mm najua sijui ana tatizo gani ananiletea habari zake za yanga
Pole Mtani utajifariji saa moja.
Hahaha. Mwakani kupanda ndege watakusikia kwa jirani.πππ Dada yangu huyo tukifika hapo tu ndio tunatofautiana. πππ
Ye ni Simba lialia. Shunie
Nilikuwa Uwanjani Mkuu kuishabikia Nkana si unajua ukiwa kule network inasumbua. πHat
Hata wew ile ya nkana hukuonekana
Hongereni jamaniTunaongoza hukoo.
Nadhani hivyo. πππ hakujua.Huyo dafu na ndimu apambane tu na hali yake hivi alijua mm yanga mwenzie au
Duwa la kukuHahaha. Mwakani kupanda ndege watakusikia kwa jirani.
Kuna shabiki wa mikia amesema wataota sugu mabegani kwa kujifunga mikanda kwa safari za ndege.
Mwisho wao ni kundi D
Hahahaha akajua nitazidi kumfarijiNadhani hivyo. [emoji23][emoji23][emoji23] hakujua.
Asante dada akeeHahahaa. Kama nakuona. Haya pole Dada.
Yanga inacheza na mikia ndani ya mbeya city.Hili jukwaa hata sielewi nimefikaje, tunajadili nini kwani?
Hata thread haieleweki.
Ndio ninii
Yabidi utoke tu sasa. Utaielewa tu mpira ukiisha.Hili jukwaa hata sielewi nimefikaje, tunajadili nini kwani?
Hata thread haieleweki.
πππHongereni jamani