SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Sasa hivi kapewa Yellow kwa kosa la kupiga mtu kiwiko. Na bado ilikuwa red tena.Nadhani ndio maana mpira ulimshinda akawa anasugua huko alikotoka, sio uanamichezo kwa kitendo alichofanya, na bado refa hakuchukua hatua yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app