Hahaaaa. Nimecheka sana ujue.Safi sana, hata mm nilifrahi sana. Wao walifrahi Rais kwenda uwanjani sisi tumefrahi wao kufungwa mbele ya Rais.
Ningemuomba Haji aje aseme kuwa Simba ndio team ya kwanza kufungwa mbelae ya Mh. Rais JPM
Ndio hvyo mkuu aje atutangazie tena na hiliHahaaaa. Nimecheka sana ujue.
Ndio aje aseme kwa kweli sababu kwenye ile press alisema wao kila kitu ndio huwa ni wa kwanza.
Hahaaaa. Lol.Ndio hvyo mkuu aje atutangazie tena na hili
Hahaaaa asieee, huko sipo sanaHahaaaa. Lol.
Sidhani kama ana ubavu huo aiseee. Kwanza nawaza huko Instagramuni sijui twitterni kama katia maguu tangia jana.
Inawezekana anachungulja tu na kukimbia akiona vipondoHahaaaa. Lol.
Sidhani kama ana ubavu huo aiseee. Kwanza nawaza huko Instagramuni sijui twitterni kama katia maguu tangia jana.
Hahahaaaa. Kazi anayo alisema Yanga hatutakula Ramadhani kwa raha hatimaye kibao kimemgeukia. Teh tehInawezekana anachungulja tu na kukimbia akiona vipondo
Mie pia nakusikia tu Mkuu.Hahaaaa asieee, huko sipo sana
Poa mkuu, kama hukufahamu instagaramn at least your a wife material maana wengi wanapenda hii kituMie pia nakusikia tu Mkuu.
Yanga mlivyofurahi utafikiri ndio mmechukua ubingwa, yaani hapo Simba kapoteza mechi moja tu tena ya kukamilisha ratiba tu! Hahahaaa
Umeumia kutobolewa na Kagera?Yanga mlivyofurahi utafikiri ndio mmechukua ubingwa, yaani hapo Simba kapoteza mechi moja tu tena ya kukamilisha ratiba tu! Hahahaaa
Saa nyingine unawaacha watoto wachezee masharubu, haidhuruUmeumia kutobolewa na Kagera?
Hahaaaa. Tatizo maneno ya Manara Sesten.Yanga mlivyofurahi utafikiri ndio mmechukua ubingwa, yaani hapo Simba kapoteza mechi moja tu tena ya kukamilisha ratiba tu! Hahahaaa
Mmh.Saa nyingine unawaacha watoto wachezee masharubu, haidhuru
Ni sawa na binti kutunza nibikira mpaka aolewe then anabakwa na kichaa siku ya harusi.Saa nyingine unawaacha watoto wachezee masharubu, haidhuru
Mkwara lazima kwenye mapambano, halafu Kagera wale wana, tunaachiaga maranyingine ili kuwasaidia wakae sawa kwenye msimamo wa ligiHahaaaa. Tatizo maneno ya Manara Sesten.
Si unajua tena Hajar, Simba, Kagera Sukari na Mtibwa Sukari dugu moja, hahahaaaa. Wangewakuta Simba bado wanatafuta point za kuchukua ubingwa ndio wangeona mziki wake, wangepigwa hata mkonoMmh.
Mmh. Bado unanigunisha Sesten.Mkwara lazima kwenye mapambano, halafu Kagera wale wana, tunaachiaga maranyingine ili kuwasaidia wakae sawa kwenye msimamo wa ligi
Hahaaaa. LolSi unajua tena Hajar, Simba, Kagera Sukari na Mtibwa Sukari dugu moja, hahahaaaa. Wangewakuta Simba bado wanatafuta point za kuchukua ubingwa ndio wangeona mziki wake, wangepigwa hata mkono
Saa nyingine hata kama mnashindana kukimbia ufukweni na mkeo unajifanyisha umeshindwa, unamuacha tu aamini kua ana speed kuliko weweNi sawa na binti kutunza nibikira mpaka aolewe then anabakwa na kichaa siku ya harusi.
Hapo harusi lazima iharibike maana mtaanza kudeal kumkamata chizi,wengine wampeleke bi harusi hospital yaani ni majonzi tele. Sio mbaya JPM kasema jana kagera wamefanikiwa kutoboa katundu kamoja kwa simba