Kutoka Uwanja wa Taifa: Kagera Sugar 1 - 0 Simba FC, Kagera watibua rekodi ya kutokufungwa ya Simba

Kutoka Uwanja wa Taifa: Kagera Sugar 1 - 0 Simba FC, Kagera watibua rekodi ya kutokufungwa ya Simba

Hahaaa. Wanajitahidi kukila ila kinawashinda lol.

Swahiba nimemuona Manara anavyojifariji. Hahaaaa.
Uyo manara aliwaaminisha kuwa wanamaliza bila upoteza ndo mana kawa mdogo leo

Wamewekarecord ya kupoteza mbele ya raisi tena raisi anasema hii ndo mechi yake ya kwanza kwenda uwanjani kushuhudia

Leo nafuturu poa kabisaa roho saafi
 
*HILI PIA MSILISAHAU*

*SIMBA NDIO TIMU YA KWANZA KUFUNGWA MBELE YA RAIS WA NCHI*

*this is.....*
SIMBA NDIYO TIMU YA KWANZA KUFUNGWA NYUMBANI TANGU MFUNGO WA RAMADHANI UANZE*
*Breaking news*
*Kagera ndiyo timu ya kwanza kumfunga simba mbele ya RAIS WA NCHI (MAGUFULI) MBELE YA RAIS WA DAR (MAKONDA) MBELE YA RAIS WA SIMBA (MANARA) na simba ndiyo timu ya* *kwanza kukosa penalt mbele ya Rais JPM toka* *ameingia ikulu na Dododoma kutangazwa kuwa jiji.[emoji28][emoji28]*
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wasifungwe wao ni Nani..??? Embu wakafie mbali huko naona wanashangilia kombe hapa ila moyoni wanalia...mikeka imechanika tena wakikaa vibaya wataoga maji ya MAJIMAJI[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
Hahaaaa. Ndio hapo Kaka.

Hawajui kwamba mpira hauchezwi mdomoni.
 
Uyo manara aliwaaminisha kuwa wanamaliza bila upoteza ndo mana kawa mdogo leo

Wamewekarecord ya kupoteza mbele ya raisi tena raisi anasema hii ndo mechi yake ya kwanza kwenda uwanjani kushuhudia

Leo nafuturu poa kabisaa roho saafi
Hahaaa. Mie nilishawahi sema Manara tutakuwa tunamkaanga kwa kauli zake.

Leo analo ajitetee sasa tuone.

Hata mie Swahiba nafuturu kwa rakha kabisa.
 
Wanastahili Simba, miaka 7 yote maskini hawalijui kombe
 
32858368_1006594822831136_1193791464207810560_n.jpg
Simba poleni....

Hii laana haitowaacha kamwe..

Mwambieni afute kauli.
 
Hahaaaa. Ndio hapo Kaka.

Hawajui kwamba mpira hauchezwi mdomoni.
Mpira ni uwanjani na sio mdomoni au kwenye magazeti[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Daah basi nakwambia nimepita Kariakoo mtaa wa msimbazi nauza sukari ya Kagera (Kagera Sugar) kuna watu wamevaa jezi nyekundu zenye michirizi meupe wananikazia sura na kunisonya... sasa mimi kosa langu liko wapi eti...si nafanya biashara, hawataki kuniungisha au??
 
Watanzania wote kwa pamoja tuwe wazalendo tupende vya kwetu, Tumia Sukari ya Kagera (Kagera Sugar) kwa Afya nzuri na ulinzi wa mwili


Kagera Sugar ni sukari yenye ubora wa kiwango cha kimataifa, ukitaka kuthibitisha hili waulize Simba FC ni mabalozi wazuri wa sukari hii...

[emoji1][emoji2][emoji16][emoji3][emoji41]
Hahahaha mtani naona leo unapunguza machungu
 
Back
Top Bottom