Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

Hiki kikosi cha Nigeria kweli sio cha Nollywood movie? Hawachezi vizuri na Taifa Stars ndio inacheza sana tusije kuchoka tu tushakosa jengine ngasaaa.
 
Leo ndio ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapenzi wa soka duniani kote kuja kushuhudia manguli wa soka duniani kutoka Tanzania wakiongozwa na kocha wa makocha Charles Boniface Mkwasa master wakichuana na kikosi cha Nigeria kikiongozwa na kocha aliyezoea kufungwa Sande Olise.

Mtanange huu utavurumishwa kutoka dimba la Taifa na huku mchezo ukitarajiwa kuanza majira ya saa kumi na nusu jioni kwa majira ya Afrika Mashariki. Kama kusipokuwa na figisufigisu mechi itarushwa na AZAM TV na mimi pamoja na timu yangu tutakuletea moja kwa moja kutoka taifa kupitia tovuti inayoongoza Afrika mashariki na kati kwa kuwa na followers wengi, JamiiForum.

Stay online
=======

View attachment 283920

Ukawa tukiingia madarakani kila kitu kuntu. Siasa hazitaingizwa kwenye technical issues!
 
kuna radio inatangaza january makamba amewataka tff kufungua milango washabiki waingie gharama atalipa yeye

Kuna Ka Ukwel? Hebu Taja Kituo Hcho Cha Redio Mkuu Labda Kama Tff Wenyew Waamue Kwanza N Wapuuz Hii Mech Kiinglio Kikubwa Hawajaonesh Uzalendo
 
Ukawa tukiingia madarakani kila kitu kuntu. Siasa hazitaingizwa kwenye technical issues!

Mmetengewa kule kuna Jukwaa la Katiba, Jukwaa la siasa na Jukwaa la Uchaguzi mkuu. Hizi habari zako peleka huko usituletee uwendawazimu humu
 
Kuna Ka Ukwel? Hebu Taja Kituo Hcho Cha Redio Mkuu Labda Kama Tff Wenyew Waamue Kwanza N Wapuuz Hii Mech Kiinglio Kikubwa Hawajaonesh Uzalendo
e fm hata tbc radio nao wametangaza hivyohivyo.
 
Ngassa leo haijulikani yupo namba ngapi anazunguka uwanja mzima. Nigeria style yao ya mipira mirefu itawacost sana.

Kwa muda huu tumekuwa tunapoteza mipira kizembe sana itatuharibia
 
Back
Top Bottom