Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

Nini Yule mchezaji wa Taifa Stars anatuliza mpira Kama kipa mwanae piga mpira ufunge sio unatizama clip za C Ronaldo anataka kufunga bao la ki world class.
 
Kila mara namskia mtangazaji wa ss3 akisema uwanja wa taifa unaitwa Benjamin mkapa, je ni kweli unaitwa jina la rais mstaafu?
 
Hii gemu ishakuwa ngumu kwetu...

Wachezaji wetu wa mbele wapo likizo
 
Uwiiiiiii! Hatutopata nafasi kama hii tena.
Mrisho Ngassa umetuangusha.
 
Hili goli alilokosa Ngassa ukiwa Ulaya ndio magoli ya slow motion hayo...khaaaa
 
Dah ngassa sio mpigaji kichwa angeipata Samatta ile nyavu Kama zile simlaumu sana Ngassa sio zake majalo nzuri ile kichwa chini nyavu zinatoka vumbi.
 
Back
Top Bottom