Pachaa [emoji23][emoji23][emoji23]kikosi Z.
Ila mnajua kuloga bhana, palikuwa na ulazima gani kuandaa ngoma ya kwenda kuwapokea?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani wamekuja kufanya mazoezi ya viungo tuDuuh...! Hawa wachezaji wa sevila wana vitambi kabisa. Ni sevila veteran ama ni vipi?
WakipenDa na zaidiMtani dkk 45 nyingi eti mwaeza ongezwa ka hayo mliyofunga. Tusubiri.
Mbona wengi wana vitambi kabisa hawa wachezaji wa sevila?Bora liende. [emoji3]
Tar 1 june tunaomba uwepo kwenye jukwaa la Liverpool hahahahahahahahahNasikia ni vijana waliopo kwenye zile Academy zao[emoji23][emoji23]wangekuja wachezaji mngekoma (utani)
Acha kabisa Dada. Wajua tena nishakunywa maji ya bendera ya Timu ya Wananchi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nakuona
Sio wivu mama, ni ukweli. Kungekuwa kuna cha kushindaniwa wangecheza kama hivi.Hahaha mtani acha wivu basi mbona nanyi mlifanya maajabu ya UEFA kwa Barca mpka tukashangaa!!!
Babe hongera[emoji23][emoji23][emoji23].Baby Nina furaha sana
Uwiii kwahiyo wanawaza mauno ya jana ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na wamenasa vizuri, Tangu nilivyoona wanafurahia mauno nikajua kwisha habari yao.
Badala ya kufanya mazoezi wanalala tuu wakiagiza wale wadada wakawakatie mauno [emoji475][emoji475][emoji475]
Hahahahahha ile suti uliirudisha kabatini eeh.Tar 1 june tunaomba uwepo kwenye jukwaa la Liverpool hahahahahahahahah
Hata mie nashangaa MkuuMbona wengi wana vitambi kabisa hawa wachezaji wa sevila?
Angalia S9 wanaonyeshaSafari Chanel wanaonyesha ila hakuna sauti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu uko pande zipi[emoji23][emoji23][emoji23]you mean BODA BODAHawa jamaa walivyojua wanacheza na Mabodaboda naona wameamua kurelax