Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Half time hapa kicha wa sevilla anaomba mechi nyingine hii ikiisha
 
Kesho Asubuhi Simba Itatembea Kifua Mbele
Maeneo Ya Ikulu Na Bungeni
Kuwapa Salaam Viongozi Mbalimbali
 
Na wamenasa vizuri, Tangu nilivyoona wanafurahia mauno nikajua kwisha habari yao.
Badala ya kufanya mazoezi wanalala tuu wakiagiza wale wadada wakawakatie mauno [emoji475][emoji475][emoji475]
Uwiii kwahiyo wanawaza mauno ya jana ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hawa jamaa walivyojua wanacheza na Mabodaboda naona wameamua kurelax
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu uko pande zipi[emoji23][emoji23][emoji23]you mean BODA BODA
 
Wakuu naomba tuweke sawa, kuna wanaosema hiki kikosi cha Sevilla Ni kikosi C, wengine wanasema ni kikosi D,
Naomba kikosi A kuna kina nani?
Hivi Navas ni kikosi C? hata B hayupo ni A pure.
 
Back
Top Bottom