joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wale jamaa ndani ya dk 9 za mwisho mmekula tatu,alafu hapo hawajaamua kucheza,wangecheza ule mpira wao wa kule La Liga inawezekana baada ya dk 30 vingebaki viti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaaa hilo ndo tatizo letu,ila kwenye ulinzi tuko hovyo hapa waparekebishe kwa kweli,hasa ukizingatia mwakani tunarudi tena kwenye mashindano ya club bingwa Afrika,la sivyo kina TP Mazembe watatunyanyasa sana.
Haleluyaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi Yanga
Au kunakuwa hakuna mbadala!!!Huyu kocha huwa anaharibu sana kwenye sub
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe umekuaje tena!!![emoji3][emoji16]
Wale jamaa ndani ya dk 9 za mwisho mmekula tatu,alafu hapo hawajaamua kucheza,wangecheza ule mpira wao wa kule La Liga inawezekana baada ya dk 30 vingebaki viti.
hi siyo xawaDuh! Leo mtaniua kwa kicheko asee.
Au kunakuwa hakuna mbadala!!!
hakuna cah ole ole ole hapa mkuu, mikia wasubiri kupigwa kwan walikuwa wanapimiwa 2Sizisikii tena zile Ole ole ole kule kwa Mkapa kulikoni Wakuu? 😂😂😂
Auntie habari za muda huu[emoji6][emoji6]Tushawazoea hao
Duuuh hii itakuwa sevila fekiUlegelege gani huu!
4-2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bodaboda FC kama nabii tito...
Ni mazoezi tu mama wala hatujapoteza point..Mikia mmepigwa khamsa kama kawaida yenu.
Wale jamaa ndani ya dk 9 za mwisho mmekula tatu,alafu hapo hawajaamua kucheza,wangecheza ule mpira wao wa kule La Liga inawezekana baada ya dk 30 vingebaki viti.