Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Daah seriously watu wamefurahi ...aisee na wakat wenzenu akaunti zimenona huko kwa game ya leo tu ...na kuonekana kwenye tv station kubwa duniani ya super sport ..hehehe
Kwenye tv zilikuwa chenga tu
 
Mikia wasipokojozwa hamsa huwa hawaridhiki
mngekua nyie mngepigwaa 12 kama ss tulivo toa professional players ndo tumefungwa Lakini nyinyi mngefungwa 7 kikosi chenu chote dakika za nyongeza wangewaongeza 5
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah acheni hizo bwana mjue sisi sote ni watanzania lakini jana mashabiki wa yanga na nyie mlijikuta ni wahispania sema hata tungeshinda tusingewacheka maana mashabiki wa simba tuna roho nzuri sana ni vile hamtuelewi tuuu[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Eti umesema??????????[emoji134][emoji134][emoji134]
 
mngekua nyie mngepigwaa 12 kama ss tulivo toa professional players ndo tumefungwa Lakini nyinyi mngefungwa 7 kikosi chenu chote dakika za nyongeza wangewaongeza 5
Kwa sisi mikia bora tupigwe saba kuliko kiganja yaani hamjui tu jinsi tunavyoichukia namba 5
 
Nisalimie best

Hivi tetesi kuhusu ajibu zimekufikia.

Hahaha Mimi napita tu wasalimie
Ma uncle zangu
Nimezipata zote Mtani. Na yale ndio maisha ya soka. Huwezi sema kwamba angemalizia mpira Yanga wakati ipo sehemu ambapo anaeza pata kikubwa zaidi.

Kila la kheri kwake Mtani. Japo kama nawaona mlivyoumia kimoyo moyo kwani mazembe wamewapiga bao la kisigino.
 
Back
Top Bottom