Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
HahhahahhahaDada! Nkajua Shem kaja. [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahhahahhahaDada! Nkajua Shem kaja. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yan tutakosa kula[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Taabu tutakayopata leo sipati picha maana watani hawa wanakeleleee, wana manenooo. Sevilla God is watching you.
Tutashindaaaaaa siye umeona eeehhhh!!!Hata kikiwa Z watajijua wenyewe,
Tunawatandika kama mburukenge
Hahahaha pacha hata ingekuwa kikosi Z haiondoi wao kuitwa Sevilla,tunachojua tunacheza na Sevilla tu!!!Kikosi D mkuu.
Acha mkwara mbuzi Nataka nikukojolee na ww Leo sio unawapa hao wazungu uchwara wenu kila sikuOya, fuata mambo yako.
Bora liende. 😀Awa jmaa wanajichezea tu
Duuh...! Hawa wachezaji wa sevila wana vitambi kabisa. Ni sevila veteran ama ni vipi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati wachezaji wa Sevilla wanacheza kujifurahisha wachezaji wa mikia wamekaza utafikiri wanagombea kombe la dunia!
Pachaa [emoji23][emoji23][emoji23]kikosi Z.Hahahaha pacha hata ingekuwa kikosi Z haiondoi wao kuitwa Sevilla,tunachojua tunacheza na Sevilla tu!!!
Hahaha mtani acha wivu basi mbona nanyi mlifanya maajabu ya UEFA kwa Barca mpka tukashangaa!!!This is a joke aisee! [emoji16][emoji16][emoji16] yaani Simba wameshawafunga Sevilla 3-1. Maajabu mengine haya.
Yan kma wameambwa wanapewa ugari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mimi nimeangalia kupitia hiyo link ya cricfreeMkuu bado unaangalia kwa hiyo ya kwanza. Mi inakataa.
Dah nimecheka sanaDuuuh!miuno ya kibantu effects.Kama naziona.🏃🏃🏃🏃😃😃😃
Mtani dkk 45 nyingi eti mwaeza ongezwa ka hayo mliyofunga. Tusubiri.Ungeandika hii halftime.
Hawa washakufa.
Ulifanikiwa?Nami sion kitu kwakweli..nakuta kumeandikwa CLOSE