Kutoka Uwanja wa Uhuru - Dar | Mchezo wa Ligi Kuu Bara: Yanga SC 2 - 1 Prison Tanzania

Kutoka Uwanja wa Uhuru - Dar | Mchezo wa Ligi Kuu Bara: Yanga SC 2 - 1 Prison Tanzania

Duh nimeshangaa sana leo sion uzi wakutupatia Up-to-date..
 
Game ngumu sana hii, ila watu wa kutoka TOKYO hawashindwi
 
Adui mwombee njaa but mimi naomba yanga Leo ashinde ili simba wacheze kufa kupona kesho
 
Kandanda linaendelea hapa Uwanja wa Uhuru

Dakika 34 Yanga 1- Prison 1
Hivi mkuu wakati unatuma hii comment nikweli prisons walikua wameshapata goli mana naona kama comment yako iliwahi sana kabla yagoli lenyewe
 
Vyura mnaonaje matokeo yakibaki hivi hivi hadi mpira kwisha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchambuzi Azam TV anasema Ninja alistahili red card kwa kumchezea rafu mshambuliaji wa Prison
 
Back
Top Bottom