Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
kwa kawaida kwenye kichwa cha uume kunakuwa na vipele vidogo dogo ambavyo vinasaidi kuongeza sensitivity kazini , nahisi huenda vikawa ndo vinyewe espl kama haviumi wala kutoa usaha unless otherwise viwe vikubwa sana vya kutisha!
weka picha
weka picha
labda ungeweka picha ya uchi wa dadaako
weka picha
Kama Kichaa akikukuta unaoga, akachukua nguo zako na kukimbia nazo, ukianza kumfukuza wewe ndiye utakayeonekana kichaa, maana yeye atakuwa amevaa na wewe utakuwa uchi. Sasa achana na huyu kichaa.
dadangu hana vipele, ila nahisi mkeo nae atakua navyo mchunguze
Kama Kichaa akikukuta unaoga, akachukua nguo zako na kukimbia nazo, ukianza kumfukuza wewe ndiye utakayeonekana kichaa, maana yeye atakuwa amevaa na wewe utakuwa uchi. Sasa achana na huyu kichaa.
Mkuu jaribu kulitendea haki hilo jina ulilobeba japokuwa umeshindwa kujitendea kwa staha wewe mwenyewe.
mods!
Majukwaa kama haya hasa ya doctor,tech and gadgets ni ya muhimu sana lakini kuna wapuuzi wanakua wanaleta ujinga wao naomba muwe mnawapa ban hata ya miezi mitatu ili kuwatia adabu...
Hebu fikiria mtu umeenda kwa daktari halafu ndio uwe unajibiwa ujinga kama huu mgonjwa utajisikiaje?? Tuwe waungwana masikhara yawepo lakini sio kwenye afya zetu...
Hiyo ni ngoma tu
mi nadhani havina madhara,nakumbuka kipindi cha nyuma nilikua naviona viwili hapa chini kwangu lakini siku hizi sivioni kabisa na wala sikuwahi kwenda kwa dokta yoyote.endelea kulitumia jembe ipasavyo vyenyewe vitaisha
hata nguo tunavaliana kwani kani nanikasema mi ni mekumbe huwa unaangalia uchi wa dadaako?umetisha
mi nadhani havina madhara,nakumbuka kipindi cha nyuma nilikua naviona viwili hapa chini kwangu lakini siku hizi sivioni kabisa na wala sikuwahi kwenda kwa dokta yoyote.endelea kulitumia jembe ipasavyo vyenyewe vitaisha
hata nguo tunavaliana kwani kani nanikasema mi ni me
oow sory kumbe ke?sa inakuwaje ke unakosa busara hvo?