Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Nitawashawishi wenye ndoa wote ( wanaume wanaowapenda wake zao na wanawake wanaowapenda waume zao) wamkatae benard membe kwa kura kuanzia nec, ccm na nje ya nec, na ccm.

Membe hutufai na aliyekutuma hatufai watanzania.
 
Membe anawapiga madogo Chadema.

Ahahaaha
 
Membe kamleta mzee yusuf lazima ajaze watu,
 
Safi sana sasa ziwa nyasa nitaogolea mm nakupigia kampeni
 
Kanikosha hapo pakufukuzana kama panya teh teh teth wapi zzk
 
Membe amewapiga za uso UKAWA! Dah...sijawahi kuona!!!
 

Halafu anafikiria kuongoza taifa.
 
Sasa Membe kulikuwa na haja gani kuwapiga mkwara wanaume na familia zao eti watakukoma.

kajiandaa kuvunja ndoa za watu....----- kabisa hili...yaani hapa ukawa wanafunga hesabu asubuhi...
 
Amekuwa Mwanausalama: ameshindwa kumsaidia Rais kupambana na Rushwa ... anajaribu kupiga vijembe mahasimu wake ... Maneno mengi vitendo bure ..

Kama alishindwa kumshauri Raisi alipokua mwana usalama ndo akiwa Raisi ataweza. Anaongea tu ila vitendo na utekelezaji hamna kitu.
 
inaonekana huko kwenu ccm Membe ndiye anayewasumbua sana,sasa kama Membe ni weak leader je huyo Lowassa ndiye atakuwa strong leader?mbona amefanya kazi serikali miaka mingi na hakuna mabadiliko yoyote,kuna idea yoyote aliyosimamia na ikazaa matunda?tutamkumbuka kwa lipi huyo Lowasa?kama ni hivyo basi viongozi wote ndani ya ccm ni weakest and corrupted ever!
 
Tunaomjua huyu huwa hatupotezi muda ... mweupe kweli kweli ... Hapa ananung'unika kuwa CHADEMA imewatimua akina Zitto ... eti anawapa Ushauri UKAWA !!!! ... Huyu Mwehu kweli kweli ...
Duuh....huyu mtu nilikuwa namuona bungeni najifariji atakuwa bingwa wa debate kumbe mweupe hivi:what::what:hivi hakujipanga?
 
Membe anataka kuwaoa watanzania, duuuuuh! Mi naomba uraia wa Burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…