Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

- Nikichaguliwa kuwa rais lazma
nihakikishe wakina baba
wanawaheshimu wakina mama.by Membe
 
Hivi Membe anajiona ameshapita ndani ya ccm na sasa ameshaanza kupambana na Taifa kubwa UKAWA!!!?

kUTANGAZA NIA NDANI YA CCM NI MECHI ZA MCHANGANI WEWE...
 
Teh Teh..UKAWA wanapigwa dongo ana waambia jamaa wana uongozi wa kifalme hasa Chadema ....
 
Amejua kuwa amechemsha sasa anajifariji kwa kujaribu kuinanga CCM ....
 
NimehuzunishWa sana na huyu membe sikutegemea bora mako mara 10000 licha siwezi mpa kura
 
demokrasia au kiini macho?? Maana wenye chama tayari wana mtu wao
Mtu wao yupi? Mkuu lini Ukawa tutawajadili wagombea wake au yupo mmoja tu Dr.Slaa ukimpinga unafukuzwa kama Panya.
 
Membe hawezi kushinda Urais kabisa. Yani hakuna cha kuvutia katika hotuba yake
 
Hivi huko mtama ndio watu wanakula ngozi za ngombe badala ya nyama?
 
Membe hana tofauti na Gwajima,vijembe vijembe kwa kwenda mbele,yeye anawaza kuwatandika wapinzani tu ila hawazi atashughulikia vipi matatizo ya Tanzania
 
Upinzani wa Tanzania umejaa ufalme!!! Asante Membe kwa kulisema hilo LIVE. Pia asante kwa kuona kuwa Wapinzani ni MALOFA!!!
 
Back
Top Bottom