adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Moja kwa Moja.
Nina line tatu kila nikichungulia hakuna uafadhali, nilikuwa najiunga halotel kufushi cha Halotel Royal 5K kwa mwezi napata dakika na Mb ambazo zilikuwa zinanifaa kusongesha maisha lakini cha ajabu leo nimekuta wameondoa na cha bei ya chini sio elfu tano tena bali ni elfu Kumi.
Tokea utawala wa awamu ya sita vifurushi vinapanda hovyo sidhani kama imetokea kupita miezi miwili bila kukuta mabadiliko na bei ya vifurushi kuwa ghali, na hali hii imesababisha nishindwe kuchukua maarifa mitandaoni na kupunguza matumizi ili kuendana na hali.
Kutokana na serikali kushindwa kuzuia hali hii nimeamua nipumzike kwa muda kidogo ili kubana matumizi maana mwisho wa siku najikuta natumia gharama kubwa kujiunga mabando.
Nitakuwa naingia mtandaoni nikiwa sehemu ya Free Wi-Fi au nikipata chimbo la Free data Vpn ,dakika na sms bahati nzuri ninazo kutumia mwezi kupitia kifurushi kilichoisha Mb hivyo ni muda muafaka sasa kupumzika kuendana na haki.
Bye bye Jf,Quora , YouTube ,Gugo na chimbo zangu za kuchukua madini.
#UziTayari
Nina line tatu kila nikichungulia hakuna uafadhali, nilikuwa najiunga halotel kufushi cha Halotel Royal 5K kwa mwezi napata dakika na Mb ambazo zilikuwa zinanifaa kusongesha maisha lakini cha ajabu leo nimekuta wameondoa na cha bei ya chini sio elfu tano tena bali ni elfu Kumi.
Tokea utawala wa awamu ya sita vifurushi vinapanda hovyo sidhani kama imetokea kupita miezi miwili bila kukuta mabadiliko na bei ya vifurushi kuwa ghali, na hali hii imesababisha nishindwe kuchukua maarifa mitandaoni na kupunguza matumizi ili kuendana na hali.
Kutokana na serikali kushindwa kuzuia hali hii nimeamua nipumzike kwa muda kidogo ili kubana matumizi maana mwisho wa siku najikuta natumia gharama kubwa kujiunga mabando.
Nitakuwa naingia mtandaoni nikiwa sehemu ya Free Wi-Fi au nikipata chimbo la Free data Vpn ,dakika na sms bahati nzuri ninazo kutumia mwezi kupitia kifurushi kilichoisha Mb hivyo ni muda muafaka sasa kupumzika kuendana na haki.
Bye bye Jf,Quora , YouTube ,Gugo na chimbo zangu za kuchukua madini.
#UziTayari