Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali kuhusu ndoa ya Mrema, Halima avunja ukimya

Pesa hizi jamani sasa uyu Halima kwa Mzee Mrema si Mjukuu wake kabisa huyu?
 
Binti mdogo mweupe mwenye tumacho tuzuri, ila Mrema Viagra zinakwenda kumuua sasa ila sioni hasara yoyote kwa yeye kufa kwa sasa
 
Ni vizuri Mrema na familia yake wakaweka sawa swala la mali za Mrema hasa ile nyumba ya Sinza aliyonunuliwa na wanawake wa TLP.

Kuna migogoro mingine mtu ukiwa na busara za kutosha unaweza kuiepusha familia kabla hujafa.

Issue ya Mengi ni somo tosha kabisa.
 
Hakuna ajabu kwa mzee Mrema, na wazee wengine kama yeye, waliofiwa na wake zai na kuamua kuupiga mwingi na kuoa wake wengine katika maisha yao ya uzeeni. Maamuzi kama haya yanatajwa hata katika maandiko matakatifu. Pengine nukuu yenye kumhusu baba wa imani Ibrahimu inaweza kutufikirisha zaidi;

MWANZO 25

1 Abrahamu alioa mke mwingine, jina lake Ketura.
2 Ketura alimzalia Abrahamu watoto: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
3 Yokshani alimzaa Sheba na Dedani; wazawa wa Dedani walikuwa Waashuru, Waletushi na Waleumi.
4 Watoto wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Henoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wazawa wa Ketura.
5 Abrahamu alimrithisha Isaka mali yake yote.
6 Lakini watoto wa kiume wa masuria wake akawapa zawadi, na wakati alipokuwa bado hai, aliwapeleka katika nchi ya mashariki, mbali na Isaka mwanawe.
7 Abrahamu aliishi miaka 175.
8 Alifariki baada ya marefu na ya fanaka, akajiunga na wazee wake waliomtangulia.
9 Isaka na Ishmaeli, wanawe Abrahamu, wakamzika baba yao katika pango la Makpela, mashariki ya Mamre kwenye shamba lililokuwa la Efroni, mwana wa Sohari, Mhiti.
10 Abrahamu alikuwa amenunua shamba hilo kwa Wahiti. Huko ndiko alikozikwa Abrahamu na mkewe Sara.

Kwa kupitia andiko hilo, tunajifuna ya kuwa mke pekee kwa Ibrahimu alikuwa ni Sara, wengine ijapokuwa aliwaoa nje yake wanatajwa kama ni masuria (concubines), yaani kwa lugha ya kitaa huitwa mahawala.
 
Dada tumekutumaa ukamzaliee mzee ktk urithi nawe upatee maana ushadanga sana na majamaa wa mereran lkn bado ukutoboa kwa mzee angalu ukimzalia utatoka patumu,tumekuagiza hvyo km familia
 
Huyu binti ataiweza kasi ya gobore?
Au mzee Mambo ya uvinza anayajua?
Nilimueleza mzee mmoja wa kichaga wakati tunakunywa mbege pale Himo Mambo ya chumvini muda wote alikua anatema mate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…