wa marangu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 259
- 407
mze ana kisukari kupanda ataweza kweli? halima kafata pesa na umaarufuMzee hapa ATAWEZA kweli[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mze ana kisukari kupanda ataweza kweli? halima kafata pesa na umaarufuMzee hapa ATAWEZA kweli[emoji848][emoji848]
Tiketi ya lyatonga
Ha ha ha ha duh!Ni vema pia mrema aandike wosia mapema kuepusha usumbufu kwenye familia.
Uyo mrema si atatoa mapovu tu, zaidi uyo mkewe atabanduliwa nje na kuleta mimba isiyo ya mremaDada tumekutumaa ukamzaliee mzee ktk urithi nawe upatee maana ushadanga sana na majamaa wa mereran lkn bado ukutoboa kwa mzee angalu ukimzalia utatoka patumu,tumekuagiza hvyo km familia
Dah! Jicho mkoma kama la koboko, mkiangsliana naye, mwanaume lazima ushushe macho!Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na Mwenyekiti wa Tlp Taifa Augostino Mrema ,hatimaye Mkewe Halima amevunja ukimya kuhusu ndoa yake na Mwenyekiti huyo.
Kwamba hana ugomvi na familia yake na watu waache uzushi wa kumzushia kwamba mumewe huyo mtarajiwa amepata upinzani mkubwa kumuoa yeye .
Amesema kuwa,hana mgogoro wowote na mpenzi wake mtarajiwa wananchi wapuuze maneno yanayosambazwa mtandaoni kwamba yeye na mzee wana mgogoro sio kweli,
Bali familia wanaishi nao vizuri na wala hakuna neno na ameshapewa baraka zote amsaidie baba yao.
Halima amesema suala la ndoa yake kufungwa siku ya alhamisi bado ni mapema sana kusema kwani kipindi hiki ni cha kwaresma hivyo muda ukifika watasema jambo lao ni lini lakini kwa sasa hayupo tayari kusema mambo mengi isitoshe yeye sio mwanasiasa .
Mmoja wa watoto wa mzee Mrema ambaye jina limehifadhiwa amesema kuwa , hawana mgogoro wowote na baba yao kuhusu kuoa kwani mzee Mrema ni mtu mwenye akili timamu na anafanya maamuzi yake vizuri na kama wangeona hayuko sawa wangemshauri kwamba sio jambo jema lakini kuhusu suala la baba yao kufunga ndoa kwa kuoa mwanamke familia imelibariki kwani ni mzee na anahitaji uangalizi wa karibu zaidi.
Mwisho.View attachment 2158939
Tendo la ndoa maana yake kujamiana na ndio ngono.Kwenye ndoa hakunaga kitu inaitwa ngono isipokuwa Kuna tendo la ndoa.
ATAWEZANA!!😜😜Mzee hapa ATAWEZA kweli[emoji848][emoji848]
Huko Kiraracha hakuna wa makamo yake ambao wangeweza kumpa company ? Huyu Halima mmmmm hatariii!Maskini mzee wa kirachacha..! Ndio basi tena
Ila kaoa ili huyo mke amtunze kwa sababu ya hiyo hali yake na sio kupiga show.Sasa Mrema anapiga show gani kwa kuchoka kule, huyu mzee si angepumzka aleee wajukuu tu
Uko sahihi...Sasa mrema anakata pass ya kwenda kukutana na kiongozi wa malaika,
Tukimpigia Show Halima wake atavumiliaaa!!?Ila kaoa ili huyo mke amtunze kwa sababu ya hiyo hali yake na sio kupiga show.
Dhumuni la kuoa ni hilo la kupata mtu wa kumtunza, hilo la kupigiwa unaweza ukawa na afya yako na unapiga show vizuri tu ila bado ukachapiwa hivyo hivyo.Tukimpigia Show Halima wake atavumiliaaa!!?
Halima lazima asuguliwe na huu ndio ukweli
Mrema pumzi ishakata...[emoji16][emoji1][emoji4]
mkuu unamaanisha nini? inamaana mzee anao?Serikali ipige marufuku ARV's kuingizwa nchini, zinasambaza UKIMWI
Ifike mahali hizi dawa zipigwe marufuku tu maana wanaomeza hizo dawa wanaeneza huo ugonjwa kwa maksudi kabisa Arvs ndo sababu ya kuendelea kuwepo kwa huu ugonjwa nchini dawa zililetwa ili watu waendelee kupiga hela lakini sidhani kama ni solutions ya huu ugonjwa Madhara yake ni mabaya kuliko...www.jamiiforums.com
Atunzwe na wajukuu au watoto wakeIla kaoa ili huyo mke amtunze kwa sababu ya hiyo hali yake na sio kupiga show.
Yeye kachagua kutunzwa na mke.Atunzwe na wajukuu au watoto wake
Kwahiyo huyo Halima ni housekeeper? Kama ni hivyo ndoa ya nini?Ila kaoa ili huyo mke amtunze kwa sababu ya hiyo hali yake na sio kupiga show.
Huyu aliishi maisha ya kinoko miaka yote Sasa anaanza kukumbuka kula videmu ashakuwa skrepa hii ni shida sana Yani angekuwa dingi yangu angekula stiki huyo demu asisogee kabisa.Ndio maana wanashauri sana wanaume kutovuka stage maishani. Utakuja kuirudia muda ushakutupa mkono.
Ndoa ni jambo pana si jambo la kutimiza haja zako za kimwili tu.Kwahiyo huyo Halima ni housekeeper? Kama ni hivyo ndoa ya nini?
Sasa unaona mzee wako ndio alifanya la maana?Huyu aliishi maisha ya kinoko miaka yote Sasa anaanza kukumbuka kula videmu ashakuwa skrepa hii ni shida sana Yani angekuwa dingi yangu angekula stiki huyo demu asisogee kabisa.
Nashukuru mzee wangu baada ya mama kutangulia mbele ya haki alikubali yaishe akaishi zake mpaka Mungu alipomchukua alikuwa anawala tu Ila haoi Wala haleti home.