Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali kuhusu ndoa ya Mrema, Halima avunja ukimya

Dada tumekutumaa ukamzaliee mzee ktk urithi nawe upatee maana ushadanga sana na majamaa wa mereran lkn bado ukutoboa kwa mzee angalu ukimzalia utatoka patumu,tumekuagiza hvyo km familia
Uyo mrema si atatoa mapovu tu, zaidi uyo mkewe atabanduliwa nje na kuleta mimba isiyo ya mrema
 
Dah! Jicho mkoma kama la koboko, mkiangsliana naye, mwanaume lazima ushushe macho!
Mrema kapata binti mrembo sana, angelikuwa ni makamo yake angelifaidi sana.

Lakini kwa utofauti huo wa umri, mmoja atakuwa "bwana" na mwingine "mtwana".
 
Tukimpigia Show Halima wake atavumiliaaa!!?

Halima lazima asuguliwe na huu ndio ukweli

Mrema pumzi ishakata...[emoji16][emoji1][emoji4]
Dhumuni la kuoa ni hilo la kupata mtu wa kumtunza, hilo la kupigiwa unaweza ukawa na afya yako na unapiga show vizuri tu ila bado ukachapiwa hivyo hivyo.
 
anajikutaga mbabe wa shoo kuna kipindi walimuuliza mzee mrema umeshazeeka utastaafu lini?

akawajia juu tena kwa ukali na kujibu; yeye hajazeeka kama wanabisha wamuulize mke wake shoo zake.

Sasa amepata binti, mzee atapigwa shoo mpaka achanganyikiwe.
 
mkuu unamaanisha nini? inamaana mzee anao?

kama anao mbona halima kamkubalia? au hajali kuambukizwa.
 
Ndio maana wanashauri sana wanaume kutovuka stage maishani. Utakuja kuirudia muda ushakutupa mkono.
Huyu aliishi maisha ya kinoko miaka yote Sasa anaanza kukumbuka kula videmu ashakuwa skrepa hii ni shida sana Yani angekuwa dingi yangu angekula stiki huyo demu asisogee kabisa.

Nashukuru mzee wangu baada ya mama kutangulia mbele ya haki alikubali yaishe akaishi zake mpaka Mungu alipomchukua alikuwa anawala tu Ila haoi Wala haleti home.
 
Sasa unaona mzee wako ndio alifanya la maana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…