Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, waislamu bado wanazo sababu za kuzuia wanawake kwenda kuzika?

Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, waislamu bado wanazo sababu za kuzuia wanawake kwenda kuzika?

Hii ndio maana ya kuheshimiana sio kitu cha kushangaa , ukiwa Roma utafanya ya Roma, ukiwa Saudia utafanya ya Saudia
I nashangaza mkuu ikiwa kile wanachokatazwa Kwao wana kifanya Kwetu.
Na hakuna lolote lile linalowapata kwa kusudi la katazo la kwao,we hushangai?

Tukatae tukubali kuna bonde kubwa sana linalo(tu/wa)tenganisha kati ya dini na wenye dini.
BONDE LA WAKATI.
BONDE LA TAMADUNI.


B LA WAKATI.
Wakati ule zamani hizo teknolojia,maarfa,elimu ilikuwa hafifu sana kiasi ambacho kwa kila jambo ambalo wangelifanya lingekuwa chini ya kiwango ukilinganisha na sasa,
Mfano Wakati wao mtu akifariki waislamu ilipaswa maiti asicheleweshwe kuzikwa.
Kwanini,kwa sababu hakukuwa na namna iliyofaa sana kutunza mwili usiharibike kwa muda mrefu.
Na hasa ukizingatia mazingira yao ya Jangwani Joto ni kali sana.
Sasa ukilinganisha na miaka hii unaweza ukaona hakuna sabb ya kukimbizana kuzika ikiwa mwili unaweza kuhifadhiwa kwa siku za kutosha.
Lkn Waislam wanafuata kwa sabb dini imeamuru tayari hapo kuna athari ya bonde la wakati.
Mm naamini laiti kama aliyeamuru maiti asicheleweshwe kuzikwa angezaliwa na kuishi miakahii /zama hizi.
Asinge sema hivi.

B LA TAMADUNI.
Tamaduni za kale kipindi Chao kwa hakika zilikuwa tofauti kabisa na hizi za sasa tulizo nazo.
Utamaduni wa mashariki ya kati ni tofauti kabisa na utamaduni wa Afrika.
Katazo la wanawake kushiriki ktk shughuli za mazishi bila shaka walioandikiwa kwanza ni wanawake wa jamii hiyo ambapo kwa namna moja ama nyingine Kulikuwa na athari kwa mwanamke wa kipindi hicho.
Ndio maana mwanamke wa zama hizi ,kilekile alichokatazwa katika Uislam akija kwenye ukristo kwa kubadili dini au kushiriki mazishi ya jirani yake Mkristo hakuna linalompata/linalomuathiri huyo mwanamke.
Kwa Hivyo washika Dini tunatunza dini, tamaduni ,miiko ya wenzetu na siyo yetu.
 
I nashangaza mkuu ikiwa kile wanachokatazwa Kwao wana kifanya Kwetu.
Na hakuna lolote lile linalowapata kwa kusudi la katazo la kwao,we hushangai?

Tukatae tukubali kuna bonde kubwa sana linalo(tu/wa)tenganisha kati ya dini na wenye dini.
BONDE LA WAKATI.
BONDE LA TAMADUNI.


B LA WAKATI.
Wakati ule zamani hizo teknolojia,maarfa,elimu ilikuwa hafifu sana kiasi ambacho kwa kila jambo ambalo wangelifanya lingekuwa chini ya kiwango ukilinganisha na sasa,
Mfano Wakati wao mtu akifariki waislamu ilipaswa maiti asicheleweshwe kuzikwa.
Kwanini,kwa sababu hakukuwa na namna iliyofaa sana kutunza mwili usiharibike kwa muda mrefu.
Na hasa ukizingatia mazingira yao ya Jangwani Joto ni kali sana.
Sasa ukilinganisha na miaka hii unaweza ukaona hakuna sabb ya kukimbizana kuzika ikiwa mwili unaweza kuhifadhiwa kwa siku za kutosha.
Lkn Waislam wanafuata kwa sabb dini imeamuru tayari hapo kuna athari ya bonde la wakati.
Mm naamini laiti kama aliyeamuru maiti asicheleweshwe kuzikwa angezaliwa na kuishi miakahii /zama hizi.
Asinge sema hivi.

B LA TAMADUNI.
Tamaduni za kale kipindi Chao kwa hakika zilikuwa tofauti kabisa na hizi za sasa tulizo nazo.
Utamaduni wa mashariki ya kati ni tofauti kabisa na utamaduni wa Afrika.
Katazo la wanawake kushiriki ktk shughuli za mazishi bila shaka walioandikiwa kwanza ni wanawake wa jamii hiyo ambapo kwa namna moja ama nyingine Kulikuwa na athari kwa mwanamke wa kipindi hicho.
Ndio maana mwanamke wa zama hizi ,kilekile alichokatazwa katika Uislam akija kwenye ukristo kwa kubadili dini au kushiriki mazishi ya jirani yake Mkristo hakuna linalompata/linalomuathiri huyo mwanamke.
Kwa Hivyo washika Dini tunatunza dini, tamaduni ,miiko ya wenzetu na siyo yetu.
Ndio maana ya imani hiyo mkuu , kama Ng’ombe sisi tunakula ila wale jamaa kule India wanaheshimu sana Ng’ombe, ukiamini jambo wewe fanya kama imani inavyotaka, mengine unaacha tu
 
Nilikuwa naangalia hii video niliyotumiwa na rafiki ya mmoja.


Kwenye video hii inaonesha tangu mtu anafungwa kwenye sanda mpaka anazikwa.

Nikajiuliza ni kwa nini waislamu wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, ni Muongozo wa dini yao unaotokana na maamrisho ya mwenyezimungu yaliyomo kwenye Quran Tukufu, ama ni tamaduni tu?

Waislamu ulimwengu mzima wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, hicho kinachofanya wanawake kuzuiwa kwenda kuzika, kwa maendeleo haya ya teknolojia hasa ya mawasiliano, wanawake hawawezi kukiona?

Je, picha za video na mitandao ya kijamii haiwezi kumfanya mwanamke wa Kiislamu kujua nini huwa kinafanyika kwenye maziko ya Kiislamu?
Sioni umhimu wa wanawake kwenda kuzika maana we kwetu wakristo mwanamke hahusiki ka lolote kwenye mazishi tofauti na kulia lia tu.


Kuchimba kaburi kushusha jeneza kufukia yoote hufanywa na wanaume sasa mwanamke anaenda kutazama tu? Anakazi gani huko? Kupotezana muda tu.Kwenye upande wa mazshi waislamu wametuzidi mbali sana
 
Dini zina masharti ya kihayawani sana na watu wala hawataki kujiuliza wanayaamini tu hata kama hayana maana yoyote.

Unajiuliza kwamba mwanamke akiona maziko Mungu anateseka na nini ama anaumia wapi ama, ama mwanamke akiona maziko atamzuia marehemu kwenda akhera?

Ni mambo ambayo hata common sense tu inakataa lakini unaambiwa ni maelekezo ya Mungu, unajiuliza huyo Mungu wakati anatoa hayo maagizo alikua amechanganyikiwa ama dish limeyumba ama ni nini shida?

Dini ni ulevi mbaya sana.
Basi kwa kujifanya mna akili sana.
 
I nashangaza mkuu ikiwa kile wanachokatazwa Kwao wana kifanya Kwetu.
Na hakuna lolote lile linalowapata kwa kusudi la katazo la kwao,we hushangai?

Tukatae tukubali kuna bonde kubwa sana linalo(tu/wa)tenganisha kati ya dini na wenye dini.
BONDE LA WAKATI.
BONDE LA TAMADUNI.


B LA WAKATI.
Wakati ule zamani hizo teknolojia,maarfa,elimu ilikuwa hafifu sana kiasi ambacho kwa kila jambo ambalo wangelifanya lingekuwa chini ya kiwango ukilinganisha na sasa,
Mfano Wakati wao mtu akifariki waislamu ilipaswa maiti asicheleweshwe kuzikwa.
Kwanini,kwa sababu hakukuwa na namna iliyofaa sana kutunza mwili usiharibike kwa muda mrefu.
Na hasa ukizingatia mazingira yao ya Jangwani Joto ni kali sana.
Sasa ukilinganisha na miaka hii unaweza ukaona hakuna sabb ya kukimbizana kuzika ikiwa mwili unaweza kuhifadhiwa kwa siku za kutosha.
Lkn Waislam wanafuata kwa sabb dini imeamuru tayari hapo kuna athari ya bonde la wakati.
Mm naamini laiti kama aliyeamuru maiti asicheleweshwe kuzikwa angezaliwa na kuishi miakahii /zama hizi.
Asinge sema hivi.

B LA TAMADUNI.
Tamaduni za kale kipindi Chao kwa hakika zilikuwa tofauti kabisa na hizi za sasa tulizo nazo.
Utamaduni wa mashariki ya kati ni tofauti kabisa na utamaduni wa Afrika.
Katazo la wanawake kushiriki ktk shughuli za mazishi bila shaka walioandikiwa kwanza ni wanawake wa jamii hiyo ambapo kwa namna moja ama nyingine Kulikuwa na athari kwa mwanamke wa kipindi hicho.
Ndio maana mwanamke wa zama hizi ,kilekile alichokatazwa katika Uislam akija kwenye ukristo kwa kubadili dini au kushiriki mazishi ya jirani yake Mkristo hakuna linalompata/linalomuathiri huyo mwanamke.
Kwa Hivyo washika Dini tunatunza dini, tamaduni ,miiko ya wenzetu na siyo yetu.
Sasa kuna haja gani ya kukaa na maiti muda mrefu au ndio ile hoja ya kwamba anaweza akawa hajafa kazimia hivyo anaweza kuzinduka?
 
Sasa kuna haja gani ya kukaa na maiti muda mrefu au ndio ile hoja ya kwamba anaweza akawa hajafa kazimia hivyo anaweza kuzinduka?
Kwa kila mfiwa wana haja tofauti,haziwezi fanana haja kwa wafiwa wote.
Hata hiyo hoja ya ufufuo inaweza ikawa haja kwa moja wapo ya wafiwa.
Ili mradi hakuna anaye shurutishwa kuzika.
Kila mmfiwa/wafiwa wanaweza kuamua lini wazike au wasafirishe.
Ili mradi hawavunji sheria wala si dhambi kufanya hivyo.
 
Basi kwa kujifanya mna akili sana.
Nikuulize, magizo kama hayo yasiyo na maana yoyote unadhani alieyatoa atakua ana akili timamu? Ama kwa mfano, Iraq limepitisha sheria ya kuruhusu watoto wa miaka 9 kuolewa na wanasema ni maagizo ya Mungu, wewe kwa kumuangalia mtoto wa miaka 9 wa kike kwa akili yako unaona ni sawa aolewe? Je unadhani maagizo kama hayo yaliyolewa na huyo Mungu akiwa na akili timamu kweli?
 
Nikuulize, magizo kama hayo yasiyo na maana yoyote unadhani alieyatoa atakua ana akili timamu? Ama kwa mfano, Iraq limepitisha sheria ya kuruhusu watoto wa miaka 9 kuolewa na wanasema ni maagizo ya Mungu, wewe kwa kumuangalia mtoto wa miaka 9 wa kike kwa akili yako unaona ni sawa aolewe? Je unadhani maagizo kama hayo yaliyolewa na huyo Mungu akiwa na akili timamu kweli?
Wee umesomea hayo maandiko yanayosema mungu kasema msichana wa miaka 9 aolewe!?, Uliyaona au umeyasikia kutoka kwa hao waloyapitisha!?.
 
Hapo ndiyo ujenge hoja Sasa. Mimi nataka kuongeza ufahamu wangu kuhusu jambo hili na siyo kuanzisha mabishano.

1gb naye kaongezea jambo hapo kwenye bandiko lake msome.
Kuna siku nilikuwa natoka Arusha kwenda Mwanza. Tukapita sehemu walikuwa wanaenda kuzika waislamu.
Kuna mwanamke mmoja akauliza. Kwann wanawake wa wakiislamu hawaruhusiwi kuzika?
Kuna mwanamke wa wakiislamu akajibu hivi
"Wanawake ni watu wa kulia na kugaragara, hivi vilio vitasababisha marehemu kama ana dhambi na watu wanamuombea asamehewe kwa Allah kwahiyo hivi vilio vinawezasababisha asisamehewe na Allah ndiyo maaana nzima ya wanawake kutorohusiwa"
 
Nilikuwa naangalia hii video niliyotumiwa na rafiki ya mmoja.


Kwenye video hii inaonesha tangu mtu anafungwa kwenye sanda mpaka anazikwa.

Nikajiuliza ni kwa nini waislamu wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, ni Muongozo wa dini yao unaotokana na maamrisho ya mwenyezimungu yaliyomo kwenye Quran Tukufu, ama ni tamaduni tu?

Waislamu ulimwengu mzima wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, hicho kinachofanya wanawake kuzuiwa kwenda kuzika, kwa maendeleo haya ya teknolojia hasa ya mawasiliano, wanawake hawawezi kukiona?

Je, picha za video na mitandao ya kijamii haiwezi kumfanya mwanamke wa Kiislamu kujua nini huwa kinafanyika kwenye maziko ya Kiislamu?
Waislamu tunaongozwa na vitu viwili ni Qur'an na Sunnah. Katazo la wanawake kwenda kuzika limekuja katika Sunnah na tangu enzi za mtume ( swallallahu alayhi wasalam) wanawake walikuwa wanabaki nyumbani wanaume wanaenda kuzika.

Hwajakatazwa kwakua wasione kinachofanyika laa!! Wanajua kinachofanyika lakini lengo kuu la kukatazwa ni

Wanawake ni watu wanaoendeshwa kwa hisia kwa asilimia kubwa, na jambo la mazishi ni jambo la huzuni linabeba hisia.
Chukua mfano kwenye misiba Huwa unasikia sauti za wanaume wakilia kwa sauti!?, Sauti nyingi ni za akina mama , sasa ndo unaongozana na watu njia nzima mnaenda kuzika ni kelele tu , hata kuzika itakuwa shida , Utulivu utaondoka.

Kuna wengine wanalia Hadi wanazimia, umeenda kuzika na mtu huyu mnaanza tena Heka heka au wale wanaolia wanajigalagaza Kila nguo kwake mnaanza tena kumshughulikia yeye badala ya lilowaleta, Utulivu unakosekana.

Na pia mwanamke Hana kazi anayofanya huko makaburini, kazi zote zinafanywa na wanaume, au ulishawahi kuona wanawake wanachimba makaburi!?, Sasa kama Hana kazi maalumu anaenda kufanya nini!?, Ni sawa na Uende mjini halafu huna kilichokupeleka zaidi ya kushangaa maghorofa, ni upotevu wa muda.

Kwahy faida za wanawake kutokwenda kuzika ni kubwa kuliko hasara, na ukiona Uislamu umekataza jambo basi ujue faida ni nyingi kuliko hasara.
 
Kuna siku nilikuwa natoka Arusha kwenda Mwanza. Tukapita sehemu walikuwa wanaenda kuzika waislamu.
Kuna mwanamke mmoja akauliza. Kwann wanawake wa wakiislamu hawaruhusiwi kuzika?
Kuna mwanamke wa wakiislamu akajibu hivi
"Wanawake ni watu wa kulia na kugaragara, hivi vilio vitasababisha marehemu kama ana dhambi na watu wanamuombea asamehewe kwa Allah kwahiyo hivi vilio vinawezasababisha asisamehewe na Allah ndiyo maaana nzima ya wanawake kutorohusiwa"
Sio kweli vilio vinaondoa utulivu sio kuondoa msamaha wako, Allah akiamua kukusamehe anakusamehe tu hata kama Dunia nzima itawale vilio.
 
Sio kweli vilio vinaondoa utulivu sio kuondoa msamaha wako, Allah akiamua kukusamehe anakusamehe tu hata kama Dunia nzima itawale vilio.
Hayo siyo majibu yangu ni majibu kutoka kwa muislamu mwenzako.
Kama hakuna utulivu kwahiyo Allah hawezi kukusamehe?
 
Nilikuwa naangalia hii video niliyotumiwa na rafiki ya mmoja.


Kwenye video hii inaonesha tangu mtu anafungwa kwenye sanda mpaka anazikwa.

Nikajiuliza ni kwa nini waislamu wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, ni Muongozo wa dini yao unaotokana na maamrisho ya mwenyezimungu yaliyomo kwenye Quran Tukufu, ama ni tamaduni tu?

Waislamu ulimwengu mzima wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, hicho kinachofanya wanawake kuzuiwa kwenda kuzika, kwa maendeleo haya ya teknolojia hasa ya mawasiliano, wanawake hawawezi kukiona?

Je, picha za video na mitandao ya kijamii haiwezi kumfanya mwanamke wa Kiislamu kujua nini huwa kinafanyika kwenye maziko ya Kiislamu?
Hii ni dini ya kweli na si LAZIMA ujue sababu ya kilichokatazwa au sababu ya kilichoamrishwa, ukikatazwa katazika hiyo ni Ibada, ukiamrishwa fuata hiyo ni Ibada, na haitafika siku uislam ukaangalia teknolojia au chochote, na Wala wanawake hawakatazwi kwa sababu ya kujua kinachotokea Kwa maiti kwani akifa Mwanamke huosha wanawake, kumvika sanda na kumswalia pia, wanacho katazwa ni kubeba jeneza au kulifuata kwenda makaburini tu, na siyo kuona anachofanyiwa maiti, kwani akifa Mwanamke wao ndo husimamia kumfanyia hayo yote. Eleweni ktk uislamu picha za viumbe vyenye roho ni haramu, ukubali au ukatae, kumbuka tunaongelea Uislamu unavyosema na si waislamu na walimwengu wanavyofanya, PICHA ZA VIUMBE VYENYE ROHO NI HARAMU.
 
Hayo siyo majibu yangu ni majibu kutoka kwa muislamu mwenzako.
Kama hakuna utulivu kwahiyo Allah hawezi kukusamehe?
Elewa Mwanamke kutoenda makaburini ni amri ya Uislamu usitafte kwa nini iwe hivi au vile.
 
Nilikuwa naangalia hii video niliyotumiwa na rafiki ya mmoja.


Kwenye video hii inaonesha tangu mtu anafungwa kwenye sanda mpaka anazikwa.

Nikajiuliza ni kwa nini waislamu wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, ni Muongozo wa dini yao unaotokana na maamrisho ya mwenyezimungu yaliyomo kwenye Quran Tukufu, ama ni tamaduni tu?

Waislamu ulimwengu mzima wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, hicho kinachofanya wanawake kuzuiwa kwenda kuzika, kwa maendeleo haya ya teknolojia hasa ya mawasiliano, wanawake hawawezi kukiona?

Je, picha za video na mitandao ya kijamii haiwezi kumfanya mwanamke wa Kiislamu kujua nini huwa kinafanyika kwenye maziko ya Kiislamu?
Uislam sio dini ya usawa,uislama ni dini ya kutumia akili/logic
1.Uislam sio dini ya kuruhusu watu wanywe kilevi halafu wasilewe😆🤣,yaani utumie kitu kinachovuruga akili Yako Kisha uizuie mwili na akili yako isivurugike
2.Uislam sio dini ya kuzuia viongozi wake wa dini eti wasioe ama wasiolewe,kua mtu ameeumbwa na nyege asitombe,ama kutombwa😄😅😆😆
3.Uislam ulijua zamani sana kua wanawake ni wengi sababu wanaume wanawahi kufa,sababu ya kazi ajari etc,ndio maana ukaruhusu mwanaume kuoa wanawake wanna,pamoja na kuwasitiri wajane
4.Uislam urihusu kama mke hajamrizia mume na kinyume chake basi waachane kwa amani,.......sio eti mukifunga ndoa kuachana ni kifo😆😃😅🤣🤣
5.Kila kitu kwenye kurithi mali uislam umekiweka wazi ,utaingia na nini,utatoka na nini
Uislam ni dini ya haki sir dini ya usawa wa kuruhusu viongozi wao kuwabariki mashoga wakifunga ndoa😆😃😅🤣
 
Nilikuwa naangalia hii video niliyotumiwa na rafiki ya mmoja.


Kwenye video hii inaonesha tangu mtu anafungwa kwenye sanda mpaka anazikwa.

Nikajiuliza ni kwa nini waislamu wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, ni Muongozo wa dini yao unaotokana na maamrisho ya mwenyezimungu yaliyomo kwenye Quran Tukufu, ama ni tamaduni tu?

Waislamu ulimwengu mzima wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, hicho kinachofanya wanawake kuzuiwa kwenda kuzika, kwa maendeleo haya ya teknolojia hasa ya mawasiliano, wanawake hawawezi kukiona?

Je, picha za video na mitandao ya kijamii haiwezi kumfanya mwanamke wa Kiislamu kujua nini huwa kinafanyika kwenye maziko ya Kiislamu?
Uislam sio dini ya usawa,uislam ni dini ya kutumia akili/logic
1.Uislam sio dini ya kuruhusu watu wanywe kilevi halafu wasilewe😆🤣,yaani utumie kitu kinachovuruga akili Yako Kisha uzuie mwili na akili yako isivurugike
2.Uislam sio dini ya kuzuia viongozi wake wa dini eti wasioe ama wasiolewe,kua mtu ameeumbwa na nyege asitombe,ama kutombwa😄😅😆😆
3.Uislam ulijua zamani sana kua wanawake ni wengi sababu wanaume wanawahi kufa,sababu ya kazi ajari etc,ndio maana ukaruhusu mwanaume kuoa wanawake wanne,pamoja na kuwasitiri wajane
4.Uislam uliruhusu kama mke hajamlizia mume na kinyume chake basi waachane kwa amani,.......sio eti mukifunga ndoa kuachana ni kifo😆😃😅🤣🤣
5.Kila kitu kwenye uislam linapokuja suala la kurithi mali uislam umekiweka wazi ,utaingia na nini,utatoka na nini
Ni ngumu sana kukuta mazishi ya matajiri wa kiislam wachawa wanaotaka usawa wakigombania mali,kama kwa kina marehemu Mengi,Bilionea Msuya etc
Uislam ni dini ya haki si dini ya usawa wa kuruhusu viongozi wao kuwabariki mashoga wakifunga ndoa😆😃😅🤣
 
Kama hoja ni teknolojia,je dini ziruhusu ushoga kwa sababu ushoga upo na umenawiri zaidi zama za teknolojia ?
Je wanadamu waache kuamini katika Mungu kwa sababu teknolojia ipo na haiamini katika Mungu ?
pia umeleta hoja,ila mbona ujaleta hoja ya kisayansi kuthibitisha kwanini teknolojia iruhusu Wanawake wa Kiislamu kwenda kuzika
Kumbuka,dini hawezi badilika kwa sababu ya maendeleo ya wanadamu,eti tuseme leo kwa sababu jumapili ni siku ya bata,basi wakrisho waende kanisani alhamisi,jumapili wakaruke debe
 
Nikuulize, magizo kama hayo yasiyo na maana yoyote unadhani alieyatoa atakua ana akili timamu? Ama kwa mfano, Iraq limepitisha sheria ya kuruhusu watoto wa miaka 9 kuolewa na wanasema ni maagizo ya Mungu, wewe kwa kumuangalia mtoto wa miaka 9 wa kike kwa akili yako unaona ni sawa aolewe? Je unadhani maagizo kama hayo yaliyolewa na huyo Mungu akiwa na akili timamu kweli?
Wewe ndie huna akili timamu, kwa kutojua kama binti akivunja unga tayari kasha kuwa mtu mzima.
 
Back
Top Bottom