Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, waislamu bado wanazo sababu za kuzuia wanawake kwenda kuzika?

Miaka 9 bado hajavunja ungo. Hapo bado ni mtoto haijalishi ni mwarabu, mzungu, mjapan n.k
Kama una mtoto wako wa kike mwenye miaka 9 mpeleke akaolewe ndiyo utajua huu ni ubakaji
Wako baadhi wana vunja ungo kuanzia miaka 9, fanya tafiti
 
Aisee, Allah akuzidishie elimu na maarifa na akulipe kheri.
 
Kama hajaelewa hapa basi tena
 
Kujua na kutokujua sio sababu inayozuia wanawake wa kiislamu kwenda kuzika.
Kwamfano kwenye hatua ya kumuosha maiti ni kwamba anapokufa muislamu mwanamke huoshwa na waislamu wanawake wenzao .Kumswalia maiti pia wanawake wanaruhusiwa kumswalia maiti akiwa mwanamke mwenzao au mwanamke.
Jambo walilokatazwa ni kusindikiza jeneza kwenda kuzika pamoja na kushiriki ibada ya kuzika.
Nimeona hoja ya mmoja wa wachangiaji kuhusu wanawake waislamu kushiriki ibada za mazishi wa kikristo au wapagani nasema hao wanawake wanaoshiriki mazishi ya watu wa dini nyingine ni malimbukeni wanaofanya mambo ambayo ni kinyume na mafundisho ya dini yao kwa sababu hata wanaume wanaoshiriki mazishi ya watu wa dini nyingine wanaume au wanawake wanafanya makosa. Mwislamu mwanaume au mwanamke anayejitambua hawezi shiriki mazishi, harusi Wala sherehe za watu wa dini nyingine.
 
Hilo swali jawabu lake unalo mwenyewe, unadhani dunia nzima kunaweza kukawa na utamaduni mmoja na watu wote wakafanana? hayo ndio mafundisho ya uislamu tangu enzi ya mtume muhammad swala na amani ziwe juu yake, wanawake hawaendi kuzika makaburini.

Uislamu hauna new na old version sisi tunafuata dini ile ile ya kale hatuna maboresho wala usasa, dini yetu inaendana na hali zote na zama zote.
 
Nakazia mada. Sheria za muumba wa ulimwengu na vilivyomo ndani yake haziwezi kubadilishwa kutokana na maendeleo yaliyopo katika nyakati husika. Hatuwezi kuhalalisha watu kutazama utupu wa wengine kisa kukithiri kwa maudhui za utupu mitandaoni. Pia hatuwezi kuruhusu ushoga na usagaji kutokana uwepo wa international human rights bodies kama UN na watu wenye ushawishi mkubwa duniani. hatuwezi kuhalalisha matumizi ya vilevi kama ngada na bangi kutokana na uwepo wa matibabu juu ya madhara ya utumivu wake...... je?, tuhalalishe watoto wakiume kuingiliwa kama wanavyodai baadhi ya wahubiri wadini X (akiwemo baba francis) kwakuwa muruwa wa maisha ya zama tulizopo unaunga mkono homosexuality.
 
Cha kushangaza Hao hao wanaokatazwa kwenye dini yao,
Akifariki jirani Mkristo wana hudhuria kwa kufuata taratibu zote za kikristo,ikiwemo kumtazama Marehemu kwa mara ya mwisho(kuaga mwili wa marehem)
Na kuhudhuria makaburini wkt wa mazishi.
Hao waislamu wanaohudhuria maziko ya makafiri ni malimbukeni wasiojali maelekezo ya dini yao .
Mwislamu anayeijua misingi na mafundisho ya dini yake hawezi kushiriki mazishi ya wakristo Wala mazishi ya watu wa dini nyingine.
 
Miaka 9 bado hajavunja ungo. Hapo bado ni mtoto haijalishi ni mwarabu, mzungu, mjapan n.k
Kama una mtoto wako wa kike mwenye miaka 9 mpeleke akaolewe ndiyo utajua huu ni ubakaji
Naomba nikueleweshe Bro kuna dini na tamaduni ( dini ni mfumo wa maisha uishi vipi, ule vipi, uvae vipi, uamini kipi)Tamaduni ni namna jamii inavyo yakabili maisha..

Iran kuna tamaduni kama ilivyo nchi nyingine za kiarabu pia Africa tuna tamaduni tofauti na Asia au china..

Kwenye Mada kuoa mwanamke wa umri wa miaka 9.. waarabu iwe muislam au asiye muislam wanatamaduni ya kurithishana na kuoa ndani ya ukoo yan mtoto anaweza kuzaliwa leo ndani ya mwezi mmoja ukaambiwa huyu ataolewa na mtoto wa mpwa wako, unakuta binti Mpaka anakua msichana tayari anajua nani atamuoa

Neno kuoa wanavyo litafsiri sio kumuingilia au kushiriki tendo hapana... Ila ni kuwa halali ya mtu fulani kwa mantiki ya umestirika hauna sababu ya kushawishika na zinaa..

Kwa upande wa dini hiko kitu sijawahi kuona kama kipo ila ni tamaduni ya watu/jamii fulani..
 
Hayo siyo majibu yangu ni majibu kutoka kwa muislamu mwenzako.
Kama hakuna utulivu kwahiyo Allah hawezi kukusamehe?
Ndo nami nimekufafanulia sio kweli aliyoyasema, vilio vinaondosha Utulivu sio msamaha, yeye alielewa tofauti.
 
Ndo waoe wa miaka 9 hata matiti bado hayajaota?
Naomba nikueleweshe Bro kuna dini na tamaduni ( dini ni mfumo wa maisha uishi vipi, ule vipi, uvae vipi, uamini kipi)Tamaduni ni namna jamii inavyo yakabili maisha..

Iran kuna tamaduni kama ilivyo nchi nyingine za kiarabu pia Africa tuna tamaduni tofauti na Asia au china..

Kwenye Mada kuoa mwanamke wa umri wa miaka 9.. waarabu iwe muislam au asiye muislam wanatamaduni ya kurithishana na kuoa ndani ya ukoo yan mtoto anaweza kuzaliwa leo ndani ya mwezi mmoja ukaambiwa huyu ataolewa na mtoto wa mpwa wako, unakuta binti Mpaka anakua msichana tayari anajua nani atamuoa

Neno kuoa wanavyo litafsiri sio kumuingilia au kushiriki tendo hapana... Ila ni kuwa halali ya mtu fulani kwa mantiki ya umestirika hauna sababu ya kushawishika na zinaa..

Kwa upande wa dini hiko kitu sijawahi kuona kama kipo ila ni tamaduni ya watu/jamii fulani..
 
Tabulele,
 
I nashangaza mkuu ikiwa kile wanachokatazwa Kwao wana kifanya Kwetu.
Na hakuna lolote lile linalowapata kwa kusudi la katazo la kwao,we hushangai?
usiniambie hujuwi kama huyo mtu atabaki kuitwa muasi wa dini yake. dini yako imekukataza uzinifu, matusi nk na bado waumini wanazini na hakuna aliyepatwa na athari inayoonekana physically na church anaingia bila shida yoyote. ni mara ngapi umeasi sheria na miongozo ya dini yako na bado upo shwari kama ilivyozoweleka? ila bado sheria inakutambua kama muovu
 
Wee umesomea hayo maandiko yanayosema mungu kasema msichana wa miaka 9 aolewe!?, Uliyaona au umeyasikia kutoka kwa hao waloyapitisha!?.
Maandiko ama hadith ya Muhammed kumuoa Aisha mwenye miaka 9 unayajua ama huyajui?
 
Asante kwa ufafanuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…