Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Bora unywe soda ieleweke kuliko tubia tuwili"Binafsi:-
siwezi kunywa bia mbili halafu niseme nimetosheka, nakunywa Hadi niwe nduki."
π€£π€£π€£π€£πππ hapa tupo woteππΏππΏππΏππΏππΏ ndio maana mtu hawezi niitia pombe Kama Sina hela nikaenda..... Huwa napenda niwe tope kabisa.
Pombe hitimisho lake ni mbususu tuHuu uzi wa kuweka kambi aisee nijione na mimi mtakatifu kidogo. Masadukayo mnatoa mavitu mazito mazito mnoo.
Kwangu mimi nilikua muumini mtiifu wa mbususu za barabarani nimezila mnooo. Sasa nimepumzika kidogo. Mbaya zaidi ukila gambe aisee nitatafuta mbususu hadi niipate nisuuze rungu ndo nilale
ππ Kabisa mkuu. Kuna siku unajidanganya eti ngoja nikapigie 2 au 3 tu baada ya hapo nageuza home.Pombe hitimisho lake ni mbususu tu
Hajui siku hizi kuna mpaka macho matatuKama demu wangu hanipi jicho, ajue tu ninachepuka
Utaacha liniNapenda kwenda kwenye wauza k na kuchagua kazigo kale nafsi inataka kutafuna kwa mlo wa siku hiyo, kwa zana maalumu,usiende huku ukiwa umepata kilevi utaangamia.
#Iga_ufe.
Utaacha lini
Hata sijui nitaachaje? Niwapo pale hujiona nipo katika mbuga ya wanyama serengeti,just you make a choices, chicken wing or whatever you wish!Utaacha lini
[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Kama demu wangu hanipi jicho, ajue tu ninachepuka
Kama si haramu kwa samaki basi hata kwangu[emoji2]Pombe, fegi, mademu na nyama
Duh[emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827]Kujua mbinu zote za kuwaondoa CCM madarakani lakini nakaa kimya,nikitanguliza maslahi yangu binafsi na tumbo langu...
Haha hahaha hahaha usiache, uboreshe utapiga sana hela.[emoji3][emoji3][emoji3]kama ulozi ni tabia mbaya basi umenishinda kabisa kuacha
Tatizo la hao abiria wengine ni wazee wa busaraHaha hahaha hahaha usiache, uboreshe utapiga sana hela.
Chukua ungo wako wa kubeba abiria 65, nenda stand ya Mbezi, ita abiria Arusha elfu tano tano unafika ndani ya dakika tatu.
Utapata vichwa Ni balaa, utatengeneza sana hela.
Achana na ule uchawi wa kuwapaka mayai viza waliokuzidi mafanikio.
Haha hahaha haha
Watakwamisha Safari. Fanya safety scanning Kwanza ya miili na mizigo yao kabla hawajakwea dudeTatizo la hao abiria wengine ni wazee wa busara
Naichukia tabia yangu ya kuona kasoro na vitu vibaya tu kwa wenzangu, hata wakiwa na mazuri 100,000,000,000/ najikuta nayaona mabaya tuuuuuuNapenda kwenda kwenye wauza k na kuchagua kazigo kale nafsi inataka kutafuna kwa mlo wa siku hiyo, kwa zana maalumu,usiende huku ukiwa umepata kilevi utaangamia.
#Iga_ufe.
Unanyandua mashoga, shauri yakoKama demu wangu hanipi jicho, ajue tu ninachepuka