Kutokana na tabia zako mbaya, jitambulishe wewe ni nani?

Kutokana na tabia zako mbaya, jitambulishe wewe ni nani?

"Binafsi:-
siwezi kunywa bia mbili halafu niseme nimetosheka, nakunywa Hadi niwe nduki."


πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hapa tupo woteπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏ ndio maana mtu hawezi niitia pombe Kama Sina hela nikaenda..... Huwa napenda niwe tope kabisa.
Bora unywe soda ieleweke kuliko tubia tuwili
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Huu uzi wa kuweka kambi aisee nijione na mimi mtakatifu kidogo. Masadukayo mnatoa mavitu mazito mazito mnoo.

Kwangu mimi nilikua muumini mtiifu wa mbususu za barabarani nimezila mnooo. Sasa nimepumzika kidogo. Mbaya zaidi ukila gambe aisee nitatafuta mbususu hadi niipate nisuuze rungu ndo nilale
Pombe hitimisho lake ni mbususu tu
 
Kama demu wangu hanipi jicho, ajue tu ninachepuka
[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
giphy.gif
 
[emoji3][emoji3][emoji3]kama ulozi ni tabia mbaya basi umenishinda kabisa kuacha
Haha hahaha hahaha usiache, uboreshe utapiga sana hela.
Chukua ungo wako wa kubeba abiria 65, nenda stand ya Mbezi, ita abiria Arusha elfu tano tano unafika ndani ya dakika tatu.
Utapata vichwa Ni balaa, utatengeneza sana hela.
Achana na ule uchawi wa kuwapaka mayai viza waliokuzidi mafanikio.
Haha hahaha haha
 
Haha hahaha hahaha usiache, uboreshe utapiga sana hela.
Chukua ungo wako wa kubeba abiria 65, nenda stand ya Mbezi, ita abiria Arusha elfu tano tano unafika ndani ya dakika tatu.
Utapata vichwa Ni balaa, utatengeneza sana hela.
Achana na ule uchawi wa kuwapaka mayai viza waliokuzidi mafanikio.
Haha hahaha haha
Tatizo la hao abiria wengine ni wazee wa busara
 
Napenda kwenda kwenye wauza k na kuchagua kazigo kale nafsi inataka kutafuna kwa mlo wa siku hiyo, kwa zana maalumu,usiende huku ukiwa umepata kilevi utaangamia.
#Iga_ufe.
Naichukia tabia yangu ya kuona kasoro na vitu vibaya tu kwa wenzangu, hata wakiwa na mazuri 100,000,000,000/ najikuta nayaona mabaya tuuuuuu
 
Back
Top Bottom