Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We mbwa siyo lazima uongee nyamaza kimya.

DC wa longido alisema huwa wanafanya Nini polini?

Nape nauye alisema Nini?



😤😤😤😤😡😡😡😡
makini mihemko dah, unawafanya kitu mbaya ee?🐒

soma tena hoja mezani muungwana
 
pole sana gentleman,

but hoja ya msingi mezani iliyokukurupua ulikokua,
ni ya msingi sana, na ni muhimu sana ikafanyiwa kazi kujiridhisha na kuthibitisha Ukweli juu ya masuala haya 🐒
Pole unaihitaji sana wewe, pamoja na kwamba haitakusaidia chochote. Unapojiingiza katika maswala ya kuua binaadam wenzako hakuna pole inayoweza kupoza hilo.
 
Pole unaihitaji sana wewe, pamoja na kwamba haitakusaidia chochote. Unapojiingiza katika maswala ya kuua binaadam wenzako hakuna pole inayoweza kupoza hilo.
sina haja ya kushiriki ushirikina wa aina yoyote kwasababu ni useless na nonsense 🐒

ninao wajibu mkubwa kuwafungua wote wenye fikra dumavu muweze kuelewa dubwasha la haya yote ni UCHAGUZI TU 🐒
 
sina haja ya kushiriki ushirikina wa aina yoyote kwasababu ni useless na nonsense 🐒

ninao wajibu mkubwa kuwafungua wote wenye fikra dumavu muweze kuelewa dubwasha la haya yote ni UCHAGUZI TU 🐒
Wewe ni muuaji. Ushirikina wa nini tena?
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Hoja nyingine bwana?, unaambiwa Mzee alitekwa kwenye Basi na Askari, wewe unasema Chadema wanatekana, kwenye basi uliwaona Chadema? Kuwa serious kidogo basi kwenye maisha ya watu
 
Hoja nyingine bwana?, unaambiwa Mzee alitekwa kwenye Basi na Askari, wewe unasema Chadema wanatekana, kwenye basi uliwaona Chadema? Kuwa serious kidogo basi kwenye maisha ya watu
Inaonekana humjui huyo mtu unaye mweleza hayo.
Huyu ni mshiriki mkubwa katika maswala hayo ya utekaji na kuua watu. Chukua muda kusoma maandiko yake mbalimbali humu utaelewa vizuri kazi anayo fanya huyu mtu.
Wizara ya Mambo ya ndani ambako ndiko lililpo jeshi la polisi, ndiko kunako simamia kazi hizi maalum za kuwatia woga waTanzania wakati huu tukielekea kwenye uchaguzi.

Na ukichambua vizuri utaona kundi zima la hawa watu, hata waliomo humu JF, utagundua kuwa kuna kitu kimoja kinacho waunganisha kwa pamoja katika swala hili la kuwatia woga waTanzania.
 
Hoja nyingine bwana?, unaambiwa Mzee alitekwa kwenye Basi na Askari, wewe unasema Chadema wanatekana, kwenye basi uliwaona Chadema? Kuwa serious kidogo basi kwenye maisha ya watu
umekurupuka kinyumbu zaid we uliwaona hao askari watekaji 🤣

we ndie yule mtoa taarifa wa A to Z wa matukio haya? hivi huwa unabana engo gani hasa maana akitekwa unatoa taarifa kwa wakati muafaka huchelewi, mambo yakiishaharibika pia umefika kwa wakati muafaka tena na taarifa,

embu eleza wadau wewe huwa una nafasi gani kwenye mambo haya na huwa unajimbaza wapi hasa?🤣
 
ALLY MOHAMED KIBAO KANIKUMBUSHA YA CHACHA WANGWE NA DEUS MALLYA

Julai 27 mwaka 2008 kada wa CHADEMA Chacha Wangwe alifariki kwenye ajali Dodoma. Wengi akiwemo mkewe wanaamini ajali ile ina mkono wa watu ndani ya CHADEMA akiwemo kijana Deus Mallya mtumishi wa Freeman Mbowe. Nimekumbuka hili leo baada ya taarifa za kada mwingine Ally Mohammed Kibao kufikwa na umauti kwenye mazingira tata.

Kwa miaka sasa kumekuwa na tuhuma lukuki za kutekana ndani ya CHADEMA huku chama hicho kikiendeshwa kama kampuni ya familia chini ya Mbowe ambaye amekipokea toka kwa mwanzilishi wake na pia baba mkwe wake Edwin Mtei. Katibu Mkuu wa zamani Dk Slaa ameziandika tuhuma lukuki za umafia ndani ya chama hicho kwenye kitabu chake cha CHADEMA iliyosalitiwa. Je lini Jeshi la Polisi litahoji na kuchunguza tuhuma hizi?

Polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama msipochunguza kutekana na kupotezana wenyewe kwa wenyewe ndani ya CHADEMA basi mjue tuhuma wataelekeza kwenu. Kwa kufanya hivyo wanakuwa wameua ndege wawili kwa jiwe moja; kwanza wanakuwa wamefanikiwa na kazi ya kujenga chuki kwa vyombo vya ulinzi na usalama na pili wanakuwa wamemalizana wenyewe humo ndani ya chama chao kwa maslahi wanayogombania. Mfano kuna dada juzi analalamika kwenye mtandao kwamba kaporwa ushindi ili mdogo wake Mbowe aingie kwenye Halmashauri Kuu ya CHADEMA badala yake. Huyu Polisi mmefuatilia? Maana katishiwa maisha pia. Chunguzeni mwenendo wa haya matukio ndani ya CHADEMA kabla hamjalaumiwa ninyi yatakapotea ya kutokea.

Swali la mwisho kwa leo, hivi kwanini huku kutekana na kupotea kwa makada wa CHADEMA hakuna mtu kutoka mikoa yenye waasisi wa chama hicho (Arusha na Kilimanjaro) mpaka sasa?

20240908_194002.jpg
 
Mleta uzi ni Kei mbovu tu.
Tumpuuze maana anadhani uhai wa watu ni sawa na anavyonyoa mavyuzz yake baada ya siku chache yanaota tena.!!
 
Nilikuwa nimeamua kuachana nawe, lakini kwa vile bado unanihitaji, nabaki hapahapa kuendelea kukukumbusha tu kuwa wewe ni muuaji.
ungekosa vitu vingi sana dah 🤣
 
Tlaatlaah bro una mambo ya kipuuzi sana huna jambo serious kwako.
relax gentleman,
uchunguzi sio jambo la kupuuzwa kwenye Jambo hili hususani kwenye chama kinachoendelea na Uchaguzi...

hofu, mihemko na ghadhabu za nini kwa mfano gentleman, kama hakuna jambo katika hili?🐒
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Kuna watu watakutukana ila ujue hili taifa lina watu wanaakilì mgando sana,ndio maana mamtu yanatapeliwa kwa tuma kwa namba hii.ASANTE KWA KUWAZA NJE YA BOX
 
Kuna watu watakutukana ila ujue hili taifa lina watu wanaakilì mgando sana,ndio maana mamtu yanatapeliwa kwa tuma kwa namba hii.ASANTE KWA KUWAZA NJE YA BOX
Mleta mada amenikumbusha mbali sana Kitabu cha "Kikosi cha Kisasi" kwani viongozi wengi wa Wapigania Uhuru wanauawa Nchini Zaire? Hapo ndipo Wapelelezi mahiri wakiongozwa na Willy Gamba walipokwenda Kinshasa ili kwenda kutafuta kiini cha vifo hivyo

Naungana na mtoa mada Upelelezi uanze kwenye chama kinachokutwa na kadhia hiyo CCM na kila sehemu inyoonyesha inaweza kuwa na dalili ya kufanya uharamia huo
 
Hivi vitu havihitaji ushabiki kama wa Simba na Yanga,ni mpumbavu pekee ndo ataona jambo hili ni sawa na kitu Cha kawaida.

Jinga kabisa.
 
Kuna watu watakutukana ila ujue hili taifa lina watu wanaakilì mgando sana,ndio maana mamtu yanatapeliwa kwa tuma kwa namba hii.ASANTE KWA KUWAZA NJE YA BOX
pamoja comrade, 👊 👊

R.I.P.kamanda Ally Mohamed Kibao
 
Wewe umekwisha jitambulisha, sasa tunawasaka wenzako.
kamanda kua mstaarabu bas acha kuchekesha kwenye maombolezo, kua na staha kidogo please 🐒

R.I.P.Kamandab Ally Kibao
 
Back
Top Bottom