Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Pre GE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Yaani yaani hii imeisha halibiwa na ccm kwa kiwango kibaya sana. Yaani mtu mwenye akili ya kujuwa kusoma na kuandika anaandika ujinga kama huu. Kwahiyo chadema wanauwezo wa kusimamisha basi barabarani na kufunga mtu pingu na kuondoka naye na kwenda kumuuwa bila hata polisi kujuwa. Basi hatuna polisi wala serikali
 
Yaani yaani hii imeisha halibiwa na ccm kwa kiwango kibaya sana. Yaani mtu mwenye akili ya kujuwa kusoma na kuandika anaandika ujinga kama huu. Kwahiyo chadema wanauwezo wa kusimamisha basi barabarani na kufunga mtu pingu na kuondoka naye na kwenda kumuuwa bila hata polisi kujuwa. Basi hatuna polisi wala serikali
mbona muerevu una mbwelambwela na mihemko tu na huelezi kinagaubaga,

kwamba alipofungwa pingu mkaelekea nae wapi? na mkamtendea nini? na mwishowe mnakuja kutoa taarifa za kifo tu? kulikoni?

why mnaripoti mwanzo na mwisho wa tukio tu, halafu mnakua wakali sana mkiulizwa kueleza katikati ya tukio? :pulpTRAVOLTA:
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Hivi kwa akili yako unaona hiyo inaweza kuwa ni kazi ya mtu moja. Nyie PAKA wa LUMUMBA (CHAWA) mna matatizo ya akili!
 
Hivi kwa akili yako unaona hiyo inaweza kuwa ni kazi ya mtu moja. Nyie PAKA wa LUMUMBA (CHAWA) mna matatizo ya akili!
kwani mlikua wangapi gentleman,

relax tu na upunguze ukali elezea wadau kwa utulivu....

inaweza kua wangapi kwa mfano? :pulpTRAVOLTA:
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Ili kuondoa hiyo hali basi, vitumike vyombo vya kimataifa kati ya hivi kimojawapo
1. Scotland Yard, M16, CIA.
Lkn kwa haw watu wetu Twish na watu wa Wambura hawafai,
Ili ijulikane ni akina kati ya chadema, ccm, serikali na vyombo vyake au nani?
 
kwani mlikua wangapi gentleman,

relax tu na upunguze ukali elezea wadau kwa utulivu....

inaweza kua wangapi kwa mfano? :pulpTRAVOLTA:

Ni kazi inaratibiwa Lumumba ..... now ni common knowledge. Na kumbe aliyemlipua ni Msigwa .... eti ndiye strategists wa CDM.
 
Ili kuondoa hiyo hali basi, vitumike vyombo vya kimataifa kati ya hivi kimojawapo
1. Scotland Yard, M16, CIA.
Lkn kwa haw watu wetu Twish na watu wa Wambura hawafai,
Ili ijulikane ni akina kati ya chadema, ccm, serikali na vyombo vyake au nani?
hivyo ndivyo watu wa haki hushauriana na kujadiliana kufikia muafaka wenye kumuondolea shaka kila mwenye wasiwasi wasi... :KasugaYeah: :KasugaYeah: :ClapHD: :ClapHD:

hisia, huruma, mihemko, ghadhabu au ukali kila mwanadamu anavyo, ila sasa vya nini kwenye jambo gumu na la uchungu kama hili?
 
Ni kazi inaratibiwa Lumumba ..... now ni common knowledge. Na kumbe aliyemlipua ni Msigwa .... eti ndiye strategists wa CDM.
na kama mlikua wote hao na unaficha na kunyamazia ukweli huo, badala ya kushirikiana na vyombo vya kiuchunguzi..

kumbuka maswala ya haki ya mtu tena ya kuishi yanahitaji utu na ukweli pekee, sio hiyo commom knowledge unayotamba nayo...

ukificha ukweli kwenye sio kwamba wewe ni mjanja sana, kwa wakati wako muafaja utaulizwa mbele ya haki kwa Mungu siku ya mwisho:pulpTRAVOLTA:
 
na kama mlikua wote hao na unaficha na kunyamazia ukweli huo, badala ya kushirikiana na vyombo vya kiuchunguzi..

kumbuka maswala ya haki ya mtu tena ya kuishi yanahitaji utu na ukweli pekee, sio hiyo commom knowledge unayotamba nayo...

ukificha ukweli kwenye sio kwamba wewe ni mjanja sana, kwa wakati wako muafaja utaulizwa mbele ya haki kwa Mungu siku ya mwisho:pulpTRAVOLTA:

Jitahidi kuspin ... It wont work Bro.

Damu ya huyu Mzee inawasumbua ....!!
 
Jitahidi kuspin ... It wont work Bro.

Damu ya huyu Mzee inawasumbua ....!!
ng"ang"ana vizuri na common knowledge yako upinga ukweli dhidi ya uhai wa mwanadamu uendele kwa bidii kusaidia kudhulumu haki na stahiki za kamanda Ally Kibao jwa hisia potofu na huruma ya kinafiki...

siku ya mwisho mbele ya haki utawajibika tu :pulpTRAVOLTA:
 
ng"ang"ana vizuri na common knowledge yako upinga ukweli dhidi ya uhai wa mwanadamu uendele kwa bidii kusaidia kudhulumu haki na stahiki za kamanda Ally Kibao jwa hisia potofu na huruma ya kinafiki...

siku ya mwisho mbele ya haki utawajibika tu :pulpTRAVOLTA:
1725891730631.jpeg


TEAM YENU HIYO IPO KAZINI.
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Hujitambui, karma huwa inachapa na wanaoongea utumbo huku wakijua ukweli.
 
Hujitambui, karma huwa inachapa na wanaoongea utumbo huku wakijua ukweli.
sasa mbona unae jitambua una mihemko tu,

na hata huongei maini ya ng"ombe huku ukibainisha ukweli?

hiyo si nonsense na useless sense kabisa gentleman? :pulpTRAVOLTA:
 
Si bure, kuna kitu kinachoendelea ndani ya chama hiki kikongwe cha siasa kilichojizolea umaarufu mkubwa wa kisiasa miaka ya nyuma.

Vyombo vya kiuchunguzi wana kila sababu ya kukifanyia uchunguzi wa kina wa kiusalama chama hiki cha siasa, viongozi wake waandamizi na wananchama wake mashuhuri dhidi ya kuhusika kwao kwenye mambo haya, na vyanzo vya taarifa za kihalifu walizonazo hususani kwenye hili la watu kupotea na baadae kukutwa wakiwa wafu. kwa hakika uchunguzi huo unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kutuliza hali ya taharuki wanazoibua chadema kwa jamii na tashwishwi za kiusalama kwa wananchi.

Je, ni kweli wao kama chadema hawahusiki na utekaji huo? ni vizuri kijiridhisha isije ikatokea Shakahola ya kisiasa ndani ya chadema Tanazania? are these not stage managed political schemes of silencing challengers in party elections?

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ndani ya chama hicho cha siasa hakuko salama na hakuana utulivu wa kisiasa, joto la uchaguzi ni kali lipo juu mno, taharuki na hali ya kutoaminiani imetanda pakubwa.

Je, hii haiwezi kuwa sababu ya kunyamazishana katika jitihada za kugombania nafasi za uongozi kwa ambao wamekosa uhalali, hoja na hawataki changamoto kwenye sanduku la kura?

Kwa maoni yangu na bilashaka yoyote uchunguzi wa kiusalama ukifanyika ndani ya chama hiki, taharuki hizi zote wanazoibua wenyewe zitakoma, kwasababu kuna wasiwasi na viashiria vya moja kwa moja kwa chama hiki kuhusika, lakini ili kujiridhisha ni muhimu sana kuchunguza. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania.

Matukio mengine ya utekaji yakihusisha watu wasiyojulikama soma Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Unatia aibu ukiwa msikiti gani?
 
Kama una hakika Samia na Serikali yake hawahusiki katika hili, waambie waunde TUME HURU YA KIJAJI. Nakuhakikishia zitapigwa danadana za kutosha kukwepa uchunguzi huru.
 
Kama una hakika Samia na Serikali yake hawahusiki katika hili, waambie waunde TUME HURU YA KIJAJI. Nakuhakikishia zitapigwa danadana za kutosha kukwepa uchunguzi huru.
hayo ni mapendekezo ya ziada muhimu sana na tofauti na yangu ambayo pia ni muhumu...

si vibaya hilo nalo likazingatiwa licha ya kwamba tayari umeonyesha dalili za mashaka na imani potofu,

na kwajivyo hivyo,
wazo na pendekezo langu linabaki kua hai zaidi la muhimu na lenye nguvu zaid:NoGodNo:
 
Back
Top Bottom