Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

Kwahiyo Zimamoto likiunganishwa na Polisi ndo vitendea kazi vitapatikana? Hoja hapa ni kuongeza vifaa/vitendea kazi,
 
💪
 
Kwahiyo Zimamoto likiunganishwa na Polisi ndo vitendea kazi vitapatikana? Hoja hapa ni kuongeza vifaa/vitendea kazi,
namaanisha kikiwa ni kitengo ndani ya jeshi la polisi watafanya majukumu mengine wakati majanga yanapokuwa hayapo.Pia vitendea kazi vipo ila kuna kauzembe ndani ya ili jeshi
 
Ushauri mzuri hii. Kwa upande wangu ningependekeza liongezewe nguvu na lisiwe la zimamoto tu, bali liwe la Kukabiliana na Majanga aina yote.
kimuundo linaitwa Jeshi la zima moto na uokoaji, ambapo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limeundwa na kufanya kazi chini ya sheria namba 14 ya mwaka 2007 “FIRE AND RESCUE FORCE ACT
 
Wana vifaaa au unataka wanunue vifaa kwa mishahara yao? we mjinga mno, hili swali kawaulize wanunua V8
vifaa vipo japo kuna kasumba ya kufanyia maitanance hivyo vifaa yakiwemo magari.Ndio maana nimeshauri livunjwe na kuwa kitengo kidogo
 
Hakupelekwa hata mahakamani lakini VEO akiiba mchango wa elfu 50 kesho yake mahakamani
sikia wakati ule tulishindwa tuu kueleweshwa vyema, wale hawakusaini mikataba ya manunuzi ya vifaa bali walipewa Memorundum of Understanding na sio Legal Contract kama tulivyoaminishwa
 
kimuundo linaitwa Jeshi la zima moto na uokoaji, ambapo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limeundwa na kufanya kazi chini ya sheria namba 14 ya mwaka 2007 “FIRE AND RESCUE FORCE ACT
Shukrani Mkuu Andrew. Ningetamani kujua Majanga kwa mfano say mradi mpya kama Stiegler au SGR responsibility ya distaster management bado iko chini ya Jeshi hili?
 
Inawezekana nikanekana sina adabu ila nawaambia,hakuna tasisi yoyote nchi hii ambayo inafanya kazi kama inavyotakiwa.

Kila sehemu utakapokuta mapungufu utapewa msururu wa changamoto zinazosababisha,maana hakuna mifumo imara wa uwajibishaji.

Taasisi za watu binafsi/mashirika/na makampuni ya biashara,hutoa uongozi kwa watu smart na wanaoweza kuongeza tija na ufanisi ili kukuza faida na kampuni kwa ujumla,hakuna anayeajiriwa sababu ni mzuri ktk kusifu.

Watu smart wanapigwa majungu wanafichwa ubarozini au kustaafishwa kabisa,tunaacha mzezeta.
 
Haikuwahi kuwa ndani ya Jeshi la Polisi bali lilikuwa chini ya Halmashauri na gari zao zilikuwa zikitumia namba za SM.
Maoni ya kutaka kiwe kitengo ndani ya Jeshi la Polisi sio ufumbuzi bali ni kukwepa utatuzi wa tatizo.
Muhimu ni kuboresha vitendea kazi na kuongeza rasilimali watu katika Jeshi la Zimamoto na uokoaji ili kuliongezea ufanisi katika utendaji wake.
 
Watu Binafsi waruhusiwe kufungua Fire Brigade zao hao watakuwa Fasta kuja kuzima Moto.
Hakuna sheria inayokataza watu binafsi au kampuni kuanzisha vitengo vyenye majukumu hayo ya kuzima moto na uokoaji, ndiyo maana kuna kampuni kadhaa binafsi za ulinzi wana package hiyo katika huduma zao. i.e Garda world etc.
 
Moto hautokei Kila siku ila Viongozi wanasafari Kila siku za kutuletea maendeleo,hivyo V8 kwanza matinga ya kuzima moto baadae.
 
Hakuna sheria inayokataza watu binafsi au kampuni kuanzisha vitengo vyenye majukumu hayo ya kuzima moto na uokoaji, ndiyo maana kuna kampuni kadhaa binafsi za ulinzi wana package hiyo katika huduma zao. i.e Garda wold etc.
Sasa itabidi Manispaa na Halmashauri ziwe zinalipa kila mara moto unapozimishwa.
 
Hapana mkuu, kwamba ilikua chini ya Halmashauri ninaona kama unajielekeza vibaya. Ilikuwa chini ya jeshi la Polisi na hata faini ya kukosa stika ya zimamoto ilikuwa inatozwa na jeshi la Polisi na sio Halmashauri.

Halmashauri zilikuwa zinanunua magari yao ya zimamoto pale pasipokuwa na idara ya zimamoto ya Polisi, kwa kuwa zimamoto walikuwaga vituo vikuu tu vya polisi (central posts), yaani mikoani kama ilivyokua kwa FFU (hawa nafikiri mpaka sasa wapo makao makuu ya mkoa tu).

Hayo magari yenye SM, yalikuwa yanamilikiwa na Halmashauri kwa Wilaya zilizo nje ya makao makuu ya mkoa. Wasingeweza kusubiri gari lifike kutoka mkoani wakati nyumba inateketea, ndipo wakapanga bajeti za zimamoto nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…