Siyo hivyo tu, Simba huwa ni nadra sana kuanzisha mashambulizi kupitia kwake maana yeye akipata mipira ni kurudisha nyuma au kuwapa mabeki wa kati, akitoa pasi za mbele ni za kubambikizia wenzie na mipira inapotea. Hana confidence ya kupress mipira mbele kama anavyofanyaga Kapombe.Me nafikiri ile hali ya zimbwe ku-push mashambulizi ndo huwa inasababisha matatizo sababu mtu anayetakiwa ku cover nafasi yake huwa hafanyi kama inavyotakiwa thats why.
Saa 1 Kamili Usiku na hata ya Yanga SC nayo Kesho ni muda huo huo wa Saa 1 Kamili Usiku.
Moron.Bongo kila mtu cocha sijui wamesomea wpi
Simba akipigwa mbili ashangilieKipindi cha kwanza tucheze mpira wa taratibu kuwasoma Horoya. Israel Mwenda aanze badala ya Zimbwe. Kibu au Kyombo aanze badala ya Phiri. Second half tuongeze speed na Phiri aingie kuleta nguvu mpya na kupata magoli ya kushtukiza. Bocco aingie tukiwa tumejihakikishia ushindi au asicheze.
Inakuwaje tunakuwa na captain hana uhakika wa namba. Kwa nini wasimpe ucaptain Kapombe au hata Onyango?
Simba akipigwa mbili ashangilie
Una viashiria vyote vya uchawiMbona wengine hujawataja? Maana ninachofahamu mimi, karibia wachezaji wote ni tia maji tia maji.
Anakufa leoHoroya anakufa kwao leo hii akuna namna.
acha tu,ila mechi ya marudiano tutalipiza.Anakufa leo
Kwanini kapombe au onyango na sio zimbwe?