Kutokea kwa mimba siku zisizotarajiwa

Kutokea kwa mimba siku zisizotarajiwa

Dah yani inaumiza sana akili mkuu unaeza ikataa mimba kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee una nyumba???? Una gari????? Lea mtoto ndo raha ya ngono zembe hiyo!!!!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sperm za mwanaume zina uwezo wa kukataa kwenye mwili wa mwanamke for 3days minimum and 7days maximum .kwa hiyo umefanya mpenzi na mpenzi ndani ya utaratibu wa uwezekano wa kupata mimba na co nje ya utaratibu kama jinsi ulivyoeleza.
Kama ni hivyo siku salama ni chache sana
 
Kama ana mzunguko wa siku 28 na kupanda juu, hiyo mimba sio yako hakuna mimba inayojitunga siku ya 7, 8, 9, 10 hata hiyo ya 11 sio rahisi.

Mimi nimeshalala na wanawake wenye mzungo wa siku 28 na nmesex nao kwa siku ya 11 na mimba hawakunasa.

Nilianza kusoma haya mambo ya mzunguko baada ya kutoa mimba 2, mpaka sasa sidanganyiki na hizi calendar.
Duu!!!!!!!! Hizi nyege hizi mbaya sana
 
Na akaandae vitenge 10 na khanga 10, madela 5, chupi nyingi, pampers za mzazi 20, za mtoto, beseni, nguo za mtoto, baby show 3[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo maana watu wanakataa mimba na kukimbia majukumu
 
Jamni hii njia ya calendar watu wengi bado hamuifahamu vizuri ntaiandikia thread yake.. lakini kama mkeo ana mzunguko mfupi( siku 28) bac inamaana AVERAGE PEAK OVULATION MARA NYINGI HUWA SIKU YA 14.. PEAK ovulation ni siku ile yai linapokua kwenye mirija ya uzazi kwa ajili ya kuwa fertilized. Na lina exist within 12-24 hours kabla halijadissolve. Nikisema average ina maana it can change to day 12- 14 kutokana na sababu nyingi ikiwemo hormones, mazingira n.k.. pia ikumbukwe sperms zinaweza kukaa max 5 days and rarey to 7 days and min ni 3 days. Kwaiyo ndo maana unaweza ukafanya siku ya 8 na ukapata mtoto kama kawaida. Na kama yai likipevuka mapema sana hata siku ya 12 anaweza kushika mimba siku ya 7 mkifanya baada ya kuona siku zake. SO ITS POSSIBLE THOUGH ITS CONTRADICTING KAMA SIO MUAMINIFU ALIKOKWENDA UKO SAFARINI.
Nina mengi mno ya kuandika lakni nimejaribu kukujibu kwa kifupi..
Kama ni hivyo basi siku ya 8,9 na 10 sio salama, mkuu tupe elimu nasubiri Sana nipate kujua
 
Inawezekana sana maana mbegu za kiume zinaweza kuwa hai kwa muda wa masaa 72 sawa na aiku tatu hvyo basi tunasahuri 11-3=8 Manake ni kwamba ukisex naye siku ya nane toka ameanza hedhi mimba inaweza tokea lakini kwa siku ya saba duh utata labda nambie kitu kimoja alianza hedhi saa ngapi na ulisex naye saa ngapi.

Au nichek 0620436634
Hapo kwenye red kwa wenye mzunguko wa siku 28 ilipaswa iwe ni 14-3=11. Siku ya 14 ndio siku ya ovulation na siyo siku ya 11 kwa wenye mzunguko wa siku 28.
 
Hata siku ya 8 mimi nakukatalia mkuu, hizi kalenda nimeshazitumia saana mkuu. Kuanzia siku ya 12 usijaribu kabisa kumwaga ndani. Hata siku ya 11 inategemea na spermz za mwanaume.
Wanawake wanatuchanganya sana, ni kweli kabisa ukiwa unaenda kavu kavu tegemea kukutana na maajabu mengi, hivi inawezekana siku ya kwanza ya hedhi mwanamke akashika ujauzito?
 
Sperm za mwanaume zina uwezo wa kukataa kwenye mwili wa mwanamke for 3days minimum and 7days maximum .kwa hiyo umefanya mpenzi na mpenzi ndani ya utaratibu wa uwezekano wa kupata mimba na co nje ya utaratibu kama jinsi ulivyoeleza.
Mnhuu hapo kwenye 7days umetia chumvi tu,ni Massa 24-48
 
Issue muhimu hamna aliyetaja na muhusika kazungumzia - '...alikuwa anatumia clomitab'. Hii ni jamii ya dawa inayoitwa clomid na its a fertility medication to make someone ovulate (au used pale cause of infertility is unknown). Inawezekana hii dawa ilipelekea ovulation kufanyika mapema...wakati mwingine inapelekea hata mayai mawili kupevuka. Hakikisha hauna twins mweshimiwa....
 
Issue muhimu hamna aliyetaja na muhusika kazungumzia - '...alikuwa anatumia clomitab'. Hii ni jamii ya dawa inayoitwa clomid na its a fertility medication to make someone ovulate (au used pale cause of infertility is unknown). Inawezekana hii dawa ilipelekea ovulation kufanyika mapema...wakati mwingine inapelekea hata mayai mawili kupevuka. Hakikisha hauna twins mweshimiwa....
Kuna mwanamke kapata ujauzito siku ya saba hivi inawezekana hii
 
Back
Top Bottom