kafumujunior
Member
- Jan 4, 2014
- 10
- 7
Inaonekan asubuhi humsalimii ndomana anawas was salamu sio mpk simu ata ile hello dr i miss u umeamkaje...inamfanya siku yake inaenda vzr kuliko kula buyuNampenda na staki kumpoteza ila kero zimezidi sana hata ukiwa kazini ukishindwa kupokea simu ni shida tupu anakuwazia mengine kabsa ambayo hata huyafikirii.
hahahaha
mambo ya baby umekula, baby umelala! hayo ndio hupendi
ila ki ukweli mapenzi ya kweli ni pamoja na kupena nafas, ukiona mna kabana kila tyme jua hakuna kuaminiania
na huyu bhana inaonekaba mpenzi wake hamuamini, mchiz ni korofi
aya ayaaaaaaNikiwa nimelala simu yangu ina fingerprint huwa anachukua kidole changu na kutoa lock. Anakuta chating za ajabu ajabu ndo hupaniki kabsa
Kama kuna kitu kigumu kwangu ni kumuamini mwanamke sijui naonaje nahisi kama mwanamke ni dhaifu sana...nina background flani hivi ya huko nyuma ambayo kila mwanamke nilikuwa namtaka nilikuwa nampata kiurahisi sana...sasa imefikia point nahisi wanawake wote ni rahisi kuwapata na ni mbinu za mtongozaji tu...na uongo utakao kuja nao...inani affect sana kwakweli..
Post sent using JamiiForums mobile app
Inaonekan asubuhi humsalimii ndomana anawas was salamu sio mpk simu ata ile hello dr i miss u umeamkaje...inamfanya siku yake inaenda vzr kuliko kula buyu
Post sent using JamiiForums mobile app
aya ayaaaaaa
hapo rekebisha fasta ana fanya hivo kujihami
jitahid sku aone kama umechangeNilekebishe vip sasa
jitahid sku aone kama umechange
pretend ikiwezekana
kaa naye chiniwambie utoto una acha unataka utulie naye
lakon na yeye arekebshe fujo hizo za simu
mkiongea mtapenya tuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] na mie nimekua nashangaa mchana sikuoni mpaka usiku wa matisa. Kumbe kazi kaziaaaah
actually ni mishe ya kawaida tu my love
[emoji3] [emoji3] ivi ni kweli with condom inaonesha huna upendo mkuu?Habari yoooote hio yanini Mkuu???
Kuvaa kwako CONDOM tu
Hio ni ishara tosha ya kutokuaminiana[emoji3]
[emoji3] [emoji3] ivi ni kweli with condom inaonesha huna upendo mkuu?
brain is the beautiful part of the body.
Wewe unamatatizo ni ngumu sana kukushutumu bila tat8zo jiangalie kijanaHi wana JF natumaini mko wazima wa afya kabsa.
Mimi ni member wa siku nyingi sana huku JF na nimekuwa wa kujifunza mambo mengi tu kupitia humu ila leo nimeamua kuja na hili swala la kutokuaminiana katika mahusiano.
Mpenzi wangu kusema ukweli haniamini kabsa nisipopokea simu analeta maneno kibao, kiasi kwamba mpaka ananikosesha amani, kwa sasa nimeamua tusiwasiliane kwa wiki 2 na leo ni siku ya tatu hatuwasiliani.
Nahitaji mawazo yenu wana jf kama maamuzi yangu yako sahihi au nitakuwa nimekosea kufanya hayo maamuzi??
Tukumbuke huu msemo *KAMA AMESHIDWA KUKUAMINI VILE VILE HAWEZI KUKUPENDA*
hamna kipenz changu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] na mie nimekua nashangaa mchana sikuoni mpaka usiku wa matisa. Kumbe kazi kazi
Mrs Van
Una utani na mzee wa chatle aiseeh!Ndioo mkuu
nimekupenda bureeeebas usha mchoka
huyo halaf unataka hapa eti tukwambie mwache hahaha
na hatukwambiii
ahsanye sana kwa kunipendanimekupenda bureeee
Post sent using JamiiForums mobile app
na utadumu milele, hautakuwa kama wa mshikaji hapaahsanye sana kwa kunipenda
upendo huu na udumu
Hihihihi basi sawa dia anguhamna kipenz changu
huo usku ni kwa sabab ya time tuu, ila sina mishe yyte.
ntakuwaje na mishe bila wewe kujua tena!!
hahahahaana utadumu milele, hautakuwa kama wa mshikaji hapa
Post sent using JamiiForums mobile app