Kutokuaminiana katika mahusiano

hahahaha
yaan sasa umekuja kabsaaa kuungana na mtoa mada kama alivo toa shda yake hapo

Nilikuwa sahihi bana, chokorii ahsante kwa kunitetea maana walitaka kuniagushia mti.[emoji23][emoji23]
 
Hapo umeongea point kabsa, demu hana hata kipato kazi kukusumbua tu, mara ooh uko wapi, wakati anajua kabsa kwamba uko na kazini na ni muda wa kazi
Acha mawazo ya ajabu ajabu mkuu sijakuunga mkono ili umponde dada wa watu.
Baada ya kumpiga kata funua sasa ndo unajua hana kazi!

We wa ajabu kweli jombaa.badilisha kauli yako mkuu.we unachokifanya ni kumnyanyasa kwa kuwa hana kazi.wanaume wangapi wameona wamama wa nyumbani na wana mawazo ya kimaisha??

Sijasema mtu awe na mijihelaaaaaa hapana mi nimesema michongo na mawazo ya maisha.

Sasa wewe dada wa watu unamkatia simu na humpokelei simu yake unategemea akwambie nini na hujampa nafasi??

Mpe dada wa watu nafasi usikie mawazo yake ya kujenga hata kama hana kazi.wewe unachofanya ni roho mbaya na unyanyasaji
 
Ndio hapo sasa shemeji, eti baada ya kutafuta solution eti hawawasiliani kwa wiki mbili. Khaa.

Ila kuna baadhi ya wanaume wana visa.
 
Tatizo sio yeye bro,tatizo ni wewe,wala yy hana shida ila shida unazo wewe,wala hakutuhumu ila unamtuhumu wewe kua anakusumbua,kwa nn vtu vdogo kama hvyo vikuharibie mapenz yako kwake? Hajui ratiba zako za kaz ndio maana anaona unaweza kupokea simu,

Umeanza kumchoka ss unaona simu zake ni kero kwako,utakosa meng sana mkuu,utapata mtu ambae nae anatabia za kutopiga simu then utakuja hapa kutulalamikia kwamba mpenz wko hapigi simu siku nzima,

Ulitaka ampigie nan zaid yako?
Ulitaka upokee simu yake saa ngp?
Anakosa gan kukupigia simu kila mara kujua hali yako?
Hiv kwel unaweza lalamika mtu unaempenda anakupigia sim mpka unachukia?
Laana ni pamoja na kulalamika lalamika ovyo.

Siku ipo tena sio mbali utakuja kuona ukwel halis utakavyokutafuna,kama umemchoka mwambie its over bhasss,ataumia ila atakusahau mazima,haiwezekan umpende ila simu zake ziwe kero. Tumetofautiana sana kiwango cha ukichaaa ila nadhan chakwako kimezid kuliko hyo unaemtuhumu
 
hahahaha
yaan sasa umekuja kabsaaa kuungana na mtoa mada kama alivo toa shda yake hapo
Ngoja nikwambie kitu mkuu..kwenye hayo maswali ya umekula na nini kama kwa siku nzima yamekuja bila wazo la kimaendeleo trust huyo mwanaume au mwanamke anamshauri wake pembeni.sasa kwanini wewe mpenzi usiwe mshauri wake??
 
Umeolewa au bado? Nataka kuleta mahari[emoji85][emoji85][emoji85]
Yani wewe unioe mimi kabisaaaa.no thank u
Yani badala utumie utumie njia ya kistaarabu ya kujenga mahusiano yako eti umepigia kimya dada wa watu!!!ulimpenda kweli!!ninamashaka.

Jamaa unashida pia,unashindwa nini kukaa chini na mpenzi wako umwambie hiki na hiki sikipendi naomba ubadilike mkaridhiana??
 
Ndio hapo sasa shemeji, eti baada ya kutafuta solution eti hawawasiliani kwa wiki mbili. Khaa.

Ila kuna baadhi ya wanaume wana visa.


Ni tatizo sana kwa hawa vijana waliokula chips kisha kuumka kama maandazi.

Yaani, Sisi kaka zao tuna kazi kweli kweli ya kuwarejesha kwenye sitaha na kujiheshimu na kuheshimu wenza wao.
 
Nampenda na staki kumpoteza ila kero zimezidi sana hata ukiwa kazini ukishindwa kupokea simu ni shida tupu anakuwazia mengine kabsa ambayo hata huyafikirii.
Utakuwa uliwahi kuchepuka na akajua ndio maana

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Ukiona uaminiwi ujue una tabia ya UONGO.
Sifa kubwa ya muongo ni kutojiamini yeye mwenyewe, sasa kwa nini unataka mtu mwingine akuamini wakati wewe mwenyewe hujiamini?
 
Hahaaa. Anataka ayageuzie kwako eti lol
 
Ni tatizo sana kwa hawa vijana waliokula chips kisha kuumka kama maandazi.

Yaani, Sisi kaka zao tuna kazi kweli kweli ya kuwarejesha kwenye sitaha na kujiheshimu na kuheshimu wenza wao.
Na kwa nilivyomsoma huyo kijana ndio mwenye shida.
 
Utakuwa billionaire mapema mkuu
 
Na kwa nilivyomsoma huyo kijana ndio mwenye shida.

Ndiyo kijana anatatizo Kwa bandiko hili na hata comments zake basi unaweza ukaelewa kuwa ni mtu wa aina gani.

Any way, mahusiano ni zaidi ya bustani inayohitaji maangalizo ya Karibu na kila siku.
 
Sasa lengo la wewe kuamua kukaa kimya kwa wiki mbili ni nini?
Kwa mtazamo wangu mngekaa chini mkayaongea mpate muafaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…