MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
- Thread starter
-
- #101
hahahaha
yaan sasa umekuja kabsaaa kuungana na mtoa mada kama alivo toa shda yake hapo
Acha mawazo ya ajabu ajabu mkuu sijakuunga mkono ili umponde dada wa watu.Hapo umeongea point kabsa, demu hana hata kipato kazi kukusumbua tu, mara ooh uko wapi, wakati anajua kabsa kwamba uko na kazini na ni muda wa kazi
Ndio hapo sasa shemeji, eti baada ya kutafuta solution eti hawawasiliani kwa wiki mbili. Khaa.Acha porojo, kama Ulizoea kupokea simu ya mwenzio hata kabla haijaita wakati mnaanza mahusiasno sasa leo iweje uache kuipokea simu yake!?
Ulijenga mnara mzuri kwa njia ya mawasiliano imara ila sasa , unajitoa ufahamu kwa kumpotezea huyo Mwenzio.
Kumbuka, ukijenga mnara,, usiivunje ngazi ya kupandia juu.
Jamaa nimemgundua ni mnyanyasaji.hahaha
Chakorii ndio amkuja kuku okoa
maana dizain kama.kakuunga mkono
Ngoja nikwambie kitu mkuu..kwenye hayo maswali ya umekula na nini kama kwa siku nzima yamekuja bila wazo la kimaendeleo trust huyo mwanaume au mwanamke anamshauri wake pembeni.sasa kwanini wewe mpenzi usiwe mshauri wake??hahahaha
yaan sasa umekuja kabsaaa kuungana na mtoa mada kama alivo toa shda yake hapo
Yani wewe unioe mimi kabisaaaa.no thank uUmeolewa au bado? Nataka kuleta mahari[emoji85][emoji85][emoji85]
Ndio hapo sasa shemeji, eti baada ya kutafuta solution eti hawawasiliani kwa wiki mbili. Khaa.
Ila kuna baadhi ya wanaume wana visa.
Utakuwa uliwahi kuchepuka na akajua ndio maanaNampenda na staki kumpoteza ila kero zimezidi sana hata ukiwa kazini ukishindwa kupokea simu ni shida tupu anakuwazia mengine kabsa ambayo hata huyafikirii.
Hahaaa. Anataka ayageuzie kwako eti lolYani wewe unioe mimi kabisaaaa.no thank u
Yani badala utumie utumie njia ya kistaarabu ya kujenga mahusiano yako eti umepigia kimya dada wa watu!!!ulimpenda kweli!!ninamashaka.
Jamaa unashida pia,unashindwa nini kukaa chini na mpenzi wako umwambie hiki na hiki sikipendi naomba ubadilike mkaridhiana??
Na kwa nilivyomsoma huyo kijana ndio mwenye shida.Ni tatizo sana kwa hawa vijana waliokula chips kisha kuumka kama maandazi.
Yaani, Sisi kaka zao tuna kazi kweli kweli ya kuwarejesha kwenye sitaha na kujiheshimu na kuheshimu wenza wao.
Waajabu kweli huyu.angejua kitendo cha kumponda dada wa watu hapa kinamuweka mbali na warembo ,angejinyamazia kimyaaaa.Hahaaa. Anataka ayageuzie kwako eti lol
Utakuwa billionaire mapema mkuuAiseeh mi napenda nipigiwe mara nyingi tu lkn amake sure ndani ya hizo simu zake kuwe kuna mbinu za kupata hela na michongo ya maisha.
Sio kila saa umekula!umepata break fast!sijui umeenda chooni!sijui nini huko!najua vitu vyote hivyo hata usiponiuliza lazima nivifanye iwe isiwe.
Simu zikiwa nyingi za namna hiyo nitakukinai mapema ingawa sitokwambia.
Ameeen..na iwe hivyo kama usemavyo mkuuUtakuwa billionaire mapema mkuu
Na kwa nilivyomsoma huyo kijana ndio mwenye shida.
Hahaaa. Anataka ayageuzie kwako eti lol
Sasa lengo la wewe kuamua kukaa kimya kwa wiki mbili ni nini?
Kwa mtazamo wangu mngekaa chini mkayaongea mpate muafaka.