Tatizo sio yeye bro,tatizo ni wewe,wala yy hana shida ila shida unazo wewe,wala hakutuhumu ila unamtuhumu wewe kua anakusumbua,kwa nn vtu vdogo kama hvyo vikuharibie mapenz yako kwake? Hajui ratiba zako za kaz ndio maana anaona unaweza kupokea simu,
Umeanza kumchoka ss unaona simu zake ni kero kwako,utakosa meng sana mkuu,utapata mtu ambae nae anatabia za kutopiga simu then utakuja hapa kutulalamikia kwamba mpenz wko hapigi simu siku nzima,
Ulitaka ampigie nan zaid yako?
Ulitaka upokee simu yake saa ngp?
Anakosa gan kukupigia simu kila mara kujua hali yako?
Hiv kwel unaweza lalamika mtu unaempenda anakupigia sim mpka unachukia?
Laana ni pamoja na kulalamika lalamika ovyo.
Siku ipo tena sio mbali utakuja kuona ukwel halis utakavyokutafuna,kama umemchoka mwambie its over bhasss,ataumia ila atakusahau mazima,haiwezekan umpende ila simu zake ziwe kero. Tumetofautiana sana kiwango cha ukichaaa ila nadhan chakwako kimezid kuliko hyo unaemtuhumu