Kutokujua Sheria za Soka Chanzo cha Malalamiko ya Goli la Yanga!

Kutokujua Sheria za Soka Chanzo cha Malalamiko ya Goli la Yanga!

Mzee mwanakijiji nashukuru sana kwa maelezo mazuri kwasababu hatubishan bali tunaelezana,hiv maradona halifunga gori gani vs england then watu waengland walibehave kama sisi,hatuna uvumilivu kisoka embu angalia hata tabia za wachezaj wetu zilivyokuwa uwanjani yani sio professional players kabisa
 
Goli walilofungwa burney na arsenal leo ingekuwa ni bongo hapa uwanja usingekalika aisee....hata km mwamuzi kakosea lakin ile reaction ya nahodha wa simba kwa refa na reaction ya washabiki wao ni mambo ya kilimbuien kabisa katika soka na km issue ya jana ingetokea kwe ligi ya mabingwa hivi au ligi za wenzetu ulaya basi tungeshuhudia adhabu kubwa sana ila hapa kwetu ndo hvyo tena
Goli la Asernal, huwezi kulinganisha na la Tambwe mkuu, Ile ilikuwa Ball to hand, lakini sio Hand to ball kama Ile ya Tambwe, Tambwe aliusukumba mpira Kwa mkono wake wa kulia ili apate support ya kugeuka na kupiga vizuri,hiyo ndio tunaiita hand to ball.
 
Goli la Asernal, huwezi kulinganisha na la Tambwe mkuu, Ile ilikuwa Ball to hand, lakini sio Hand to ball kama Ile ya Tambwe, Tambwe aliusukumba mpira Kwa mkono wake wa kulia ili apate support ya kugeuka na kupiga vizuri,hiyo ndio tunaiita hand to ball.

Yote ya mkono kaka acha mahaba na yote yanalindwa na sheria
 
Yote ya mkono kaka acha mahaba na yote yanalindwa na sheria
Mimi sina mahaba na Simba mkuu ila ninachoongea ni facts, Tafuta video ya lile lile goli la Asernal uangalie vizuri Kwa ukaribu ndo utaelewa ninachomaanisha.
 
Back
Top Bottom