Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku


Ebu mpe credit CONTROLA umecopy maelezo yake mpaka nukta
 
Dah usiombe biashata inakufia unaiona afu bora ianze slow ije ichanganynye mbele huko ila unaanza fresh af chaa wateja wanaanza kupotea unajipa matumain labd kesho labda kesho ukistuka mzigo ushakata
 
Sijui akina Bilgates waliroga wakati wakuanzisha biashara ya Microsoft, au Benzos alimuona babu wakati anaanzisha Amazon.... Uwa najiuliza sana hili swali!
Ila kila sehemu ina njia zake, Tanzania tunaamini kwa babu wenzetu wanaamini katika tafiti na data. Watu kabla ya kuanzisha biashara wanatumia mamilion ya fedha kufanya utafiti na hata baada ya kuanzisha biashra. Utasikia mwaka huu Microsoft katumia dollar billion 5 kwenye utafiti, Amazon katumia dollar bilion 6 kwenye utafiti. Sisi tumetumia uzoefu kwenye utafiti hata kama mtu una biashara ya mabilion ya Tshs.
 
Asante motivation speaker , ila jifunze kua na akiba ya maneno usione wenzio vilaza
 
Ni kweli mkuu, hii inaweza kuwa ni sababu mojawapo ingawa mimi naamini zaidi katika ubunifu. Unajua baadhi ya wafanya biashara kwa kuwa labda biashara yake ipo kwenye population kubwa anakuwa akijiaminisha kuwa Hana haja ya kuprovide good custermer care. Hi imani potofu kabisa. Mteja mmoja anathamani sana. Fikiria mfano mteja uliemchukulia poa yeye kila Baada ya mwezi 1 hununua bidhaa yenye thamani ya 20000/= unayoiuza. Kwa mwaka huyu mteja atakuwa amekuingizia 240000/=. Sasa kwa wateja wawili wa Aina hii ni 480000/=.
Anyway Custumer care inalipa jamani kwa sababu huwezi jua ni mteja yupi atakuwa ni benefit kwa kiwango gani kwako.
All in all biashara pia ni ngumu maana kiukweli mtaani ni pagumu.
 
Hizo nyakati hata Mimi ziliniondoa biasharani kabisa nikafunga ofisi kabisa nikarudi kitengo(ajirani)Maana huyo Farao asiyemjua Yusufu alishika nchi akaanza kusumbua Wana wa Israel na watabiri na wachambuzi wa Mambo wanasema miaka Yake 10 itakuwa ni miaka iliyoliwa na nzige,tunutu na madumadu ole wao watakaoweka mitaji yao mikubwa Biasharani katika Siku hizo.
 
Ni muhimu sana kuomba bwana aturejeshee miaka iliyoliwa na nzige, madumadu na tunutu.
 
Tenga muda na ushukuru kwa uchache wa wateja kuja dukani hata kama hawanunui.

Kukosa shukran ni moja ya sababu ya kutopata zaidi au kuondokewa kabisa na kile kichache ulichonacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…