Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku

Hebu ziweke hapa hizo mbinu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ww inaonekana hujawah kufanya biashara km ungefnya biashara wala usingeandika hayo, biashara bongo ni ndago Sana ndo unaenda
 
My advice to you jaribu kufanya maombi kabla ya kufungua biashara yako au tumia Neno mungu nisaidie siku Ya leo niuze japo kiasi kadhaa fanya hivi kila ufunguoapo alafu usisahau kunipa feedback ok
okey.
 
Aisee mkuu.. salute sana.. umeongea vingi vya maana... Mpaka nimejiuliza kama una degree ya biashara za maduka.

Yaani umelenge kwenye consumer behavior unaiunganisha na namna muuzaji anatakiwa a behave.. kwa ufupi wewe utakuwa umekomaa sana kwenye biashara
 
Umeongea point sana
 
Miradi ya serikali malipo yaweza kuchukua mwaka mzima, kuna jamaa alikuwa na stationery kubwa sana akawa anapewa tenda serikalini (halmashauri moja) malipo ilikuwa kimbembe...
Ukitaka biashara ife mapema jiingize kwenye miradi ya serikali. Unaweza lipwa baada ya miaka 2
 
Mkuu siri yenyewe ni hii,watu wengi wenye viduka vya hardware ni wajanja wajanja wanawafanyia wateja ukanjanja kwa kuwauzia vitu vya low grade/quality kwa bei ya ubora,mfano nondo reject kwa bei ya nondo imara na kupata super profit.
Hapo ndo umeongea sasa siri.. na hii kweli ni siri aisee.. sema sasa kujua unapata wapi hizo reject ndo utofauti unapoanzia hapo..
 
Nilianza biashara ya nguo miaka kadhaa nyuma,na nikawa nasimama mwenyewe golini as hiyo ndo ilikua ishu yangu ya kunitoa.

Siku ya kwanza nikauza nguo moja,nikaanza kutetemeka sababu nilidhani nikiweka tu pamba watu watakuja.

Siku ya pili sijauza kitu kuanzia asubuhi mpaka saa nne usiku,roho iliniuma sana sikulala usiku,huku nikiwaza ni bora niajiriwe maana biashara si rahisi.

Siku ya tatu,mpaka saa mbili jioni sijauza kitu,nikaanza kuwaza uchawi na uthubutu wa kwenda kwa babu,ghafla akatokea mshikaji mmoja hivi na demu wake,wakafanya shopping ya laki mbili na nusu nilitamani nifunge muda huo,nakuanzia hapo ndo nikajua biashara siyo poa poa kama wanavyosema insipirational speakers.
 
Hii biashara siiiachi hivi hivi nitakomaa mayo hadi kodi yangu ya Fremu iishe ndio notafanya tathmini

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huenda wanga walifanyia mkutano kwenye baraza yako ya biashara na kujamba sana.
 
Kwenye biashara changamoto nyingine ambayo n kubwa mikopo.
 
Mara nyingi ukisikia ni siri, ujue ni mambo ya kishirikina. Labda unikosoe mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…