Kutokutunzwa kwa kumbukumbu za nchi ndiko kunakosababisha Magufuli aonekane Shujaa kuliko wenziwe

Ukimtoa Mwl Nyerere, JPM is the best President kuliko yoyote kwenye kuanzisha miradi mikubwa. Tunaweza hapa kuweka one on one uone! Alafu msisahau katawala awamu moja tu [emoji4]
Nitajie miradi mikubwa mitano aliyoianzisha.
 
Kwani wangapi wanamuombea mabaya magufuli unadhani wao hawajui tutakufa? Mm nimesema kwa mtazamo wangu na sijaona kibaya hapo
Vyeti feki, walamba asali, majizi, mafisadi, wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia ya halali na isiyo halali,wamefurahia kifo cha Magufuli na bado wanaendelea kumchafua kama wao kifo hakiwahusu
 
Nchi imeendelzwa na wote. Kila.Rais kwa kuwango chake. Wengine hawakulalamikiwa kuja, kutesa, kumpoteza n.k. Mtukuze tu.
Wapumbavu kama nyie ni laana kwa nchi. Waliochota pesa ya escrow walikuwa wanaendeleza nchi?! Swaini jinga wewe.
 
Bahati nzuri Sana JK anakuwa underrated lakini mzee wa watu hana kisirani. Anatabasanu tu...

Mungu aendelee kumtunza mzee wetu...
 
Magufuli kama McKenzie Kwa kweli
Huwaambii kitu wafuasi wake...
Akitokea mtu akasema wafuasi wa Magufuli wasile chakula mwaka mzima ili afufuke ...mbona tutabaki mdomo wazi...
Ni kama Kibwetere pia. Akiwaambia watu waache mavi yao nyumbani watu wanampigia makofi. Akitaka kumuoza mama yake kwa mahari ya jogoo wanashangilia... Akiwaambia wakinamama kama wanataka kupanuliwa wanaitikia ndioooo....
 
Gagnija ingia kwenye website ya National Beural of statistics kwenye Preliminary results halafu angalia Population Pyramid.

Na takiwmu hizi pia kwamba vijana chini ya miaka 35 ni asilimia 75 ya watanzania wote zimetolewa na Waziri Ummy Mwalimu wakati akielezea ni kwa nini wamempa Diamond ubalozi wa Kupambana na Malaria.
 


Ukweli ni kwamba, mpaka Leo hii, mpaka muda huu, Magu ndie the best President, na mama Samia ndie best vice President

Chukua vice wote, hakuna kama mama Samia na chukua marais wote, hakuna kama magufuli huu ndio ukweli

Yule jamaa alikuwa na udhubutu ambao vitu vinaonekana na sio udhubutu wa kwenye makaratasi tu

Jamaa alikuwa na udhubutu wa kuwatoa wafanyabiashara hewa na ambao hawana vigezo vya kufanya kazi wanazofanya kitu ambacho Marais wote walishindwa

Jamaa alikuwa na udhubutu wa kila jambo,
 
Unadhani waliomtangulia walikuwa hawana uthubutu?? Yeye alikuta watu wanaishi maporini? Shule na vyuo alivyosoma alijenga yeye??
 

Zama za kikwete ni kwenye makaratasi, ni sawa na daraja la kwenda mafia, lipo kwenye makaratasi tu

Huo mfumo wa hifadhi ulikuwa ni wizi Tu, just emagine ela zako za kustaafu zinaenda kujenga appartment ambazo hakuna mtu anaenda kukaa na zinakuwa magofu je hiyo ni akili?

Ndio maana magu aliwaambia why msijenge viwanda? Nssf wanajenga ghorofa 30 then no wapangaji hiko ndio unataka?

Madeni Kwa serikali za Africa ni kawaida
 
Wakili ku manipulate ni kuzuga? Hebu kuwa serious
 
Zama za kikwete ni kwenye makaratasi, ni sawa na daraja la kwenda mafia, lipo kwenye makaratasi tu
Kuna kitu cha serikali hakianzii makaratasini??
Kwani hela za kujenga ile Interchange zilitoka wapi?? Maana mnasifia sana kama vile alitoa hela zake kujengea ile Interchange wakati ni mkopo tutakaoulipa sisi na watoto wetu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…