Ukikumbuka ya mwendakuzimu na jinsi walivyokuwa wanayachekelea na walivyokuwa wanajimwambafai kwa kweli kuwaunga mkono inakuwa ngumu mno hata kama wakisema kipi cha maanaMandela alishirikiana Hadi na kina Buthelezi.
Kenya nao ndiyo hao. Siasa zetu za chuki Zina tija gani?
Siasa za chuki: Tanzania tunakwama wapi?
Ni kweli watanzania ni waoga na hawaungi mkono harakati za ukombozi. Lakini ni mwendawazimu tu ndio anaweza kuwaunga mkono hawa wanasiasa wa kitanzania!
Wote hao uliowataja, walikua kimya wakati dola iko upande wao. Bashiru na Polepole ilifikia hatua wakajiona kama miungu watu hapa Tanzania. Hawakukemea uovu, bali waliunga mkono na kusifia uovu. Pia wakajitokeza hadharani kuwakemea wale walioonekana kuupinga huo uovu.
Leo hii wanageuka kua wanaharakati kwakua dola haiko upande wao tena. Ni mahasimu wao ndio wanaofaidi keki ya taifa. Harakati zao zimejengwa juu ya msingi wa kinyongo na visasi. Hawako hapo kutetea maslahi ya nchi, wako hapo kuwapinga waliowapora ulaji!
Unaanza vipi kumuunga mkono mtu wa aina hii?
Unanisikitisha kwa kuona Ndugai, Polepole na Bashiru ndio wa maana. Chaguzi za magumashi na katiba mbovu ujashangaa kuona watz wameyakalia kimya?Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo.
Tumekuwa kama wapenzi watazanaji wengine wanapojaribu kuuwasha moto.
Imekuwa fulani kasema hivi, fulani kasema vile. Sisi tumesema nini fulani anaposema la maana hata kama hatumpendi? Hatuna hata kauli za mshikamano?
Izingatiwe zimekuwapo kauli nzito za maaskofu kama Mwingira, Shoo na hata mzee wa Upako au Sheikh Ponda. Kwani kulikuwa matamshi hata ya mshikamano tu kutokea wapi?
Kwa hakika kama watanzania tuna matatizo mtambuka tena yaliyo endelevu:
1. Siasa za Chuki, Tanzania tunakwama Wapi?
2. Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa
3.Msamaha kubutuliwa, Ndugai aungwe mkono
4.Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha
5.Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu
7. Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi
8.Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu
Hawakuungwa mkono kina Ndugai, Polepole, Pinda, Kitila Mkumbo na leo tunayaona kwa Bashiru.
Ukombozi ni jitihada za wote waliokuwamo na hata wasiokuwamo.
Ukombozi si suala binafsi au watu fulani ati kwamba ni hao tu from the scratch.
Unanisikitisha kwa kuona Ndugai, Polepole na Bashiru ndio wa maana. Chaguzi za magumashi na katiba mbovu ujashangaa kuona watz wameyakalia kimya?
Kuwa na akili hata kidogo. Hao wanayaongea hayo kwasababu wamekatwa mikia. Wangekuwa ni watu wakweli na safi, wangeyaongea hayo wanayoyaongea sasahivi hata ktk kipindi kile ambacho walikuwepo madarakaniTunayo safari ndefu sana kuwa na mliojawa chuki hivi ati kwamba nanyi mko upande wa kupigania katiba mpya. Ikumbukwe CCM wanafurahishwa mno na mawazo kama yako. Au nawe ni mmoja wao na hii ni janja ya nyani tu?
Kama ni furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja akitubu, kwanini isiwe furaha kwetu kama uliowataja wakijua walipopotoka?
Kwani wewe na yule mwana mwema aliyechukizwa na mwana mpotevu kurejea nyumbani mna tofauti gani?
NInakazia:
Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu
Kuwa na akili hata kidogo. Hao wanayaongea hayo kwasababu wamekatwa mikia. Wangekuwa ni watu wakweli na safi, wangeyaongea hayo wanayoyaongea sasahivi hata ktk kipindi kile ambacho walikuwepo madarakani
Pole sana sukuma gang maana sasahivi mmejikuta mmekuwa wapinzani ambao hawana mshikoTunayo safari ndefu:
Upinzani haipo katiba mpya bila kutoleana uvivu
Kwamba kwenu hakuna toba? Kwamba wenye akili ni nyie tu?
Pole sana sukuma gang maana sasahivi mmejikuta mmekuwa wapinzani ambao hawana mshiko
Ila mkuu ukizungumzia siasa za chuki naona hata wewe mkuu unatakiwa ujitoe kwenye hizo siasa za chuki, nikijaribu kukumbuka wakati ule wa Magufuli hasa kipindi kile cha corona naona kabisa ilikuwa ni zaidi ya kukosoa.Mandela alishirikiana Hadi na kina Buthelezi.
Kenya nao ndiyo hao. Siasa zetu za chuki Zina tija gani?
Siasa za chuki: Tanzania tunakwama wapi?
Kwahiyo una kinyongo?Ukikumbuka ya mwendakuzimu na jinsi walivyokuwa wanayachekelea na walivyokuwa wanajimwambafai kwa kweli kuwaunga mkono inakuwa ngumu mno hata kama wakisema kipi cha maana
Hatuwezi kuwaunga mkono machawa wa Magufuli.Mimi nawaunga mkono, pia yupo WARIONA na BUTIKU, tupo wengi kwahiyo acha kuudanganya uma kwambo hawana uungwaji mkono kabla hujafanya utafiti wa kutosha.
Dr Bashiru ana msimamo gani? Au kuna Dr Bashiru Wawili?Naamini Dr. Bashiru ataendelea kubaki na msimamo wake, hii itafaa sana kuweka rekodi sahihi mbele ya safari, na hata hao wenye ubinafsi, wanaoiwekea demokrasia masharti, naamimi nao iko siku wataamka.
Dr Bashiru ana msimamo gani? Au kuna Dr Bashiru Wawili?
Huyu chawa wa Magufuli ana msimamo upi?
Hatuwezi kuwaunga mkono machawa wa Magufuli.
Wasulubiwe.
Hakuna alioomba toba kati ya hao sanasana kinachoonekana wanasumbuliwa na njaaMisahafu inaandikab dhambi nyekundu kama bendera zaweza kusafishwa kuwa nyeupe kama theluji.
Kabila gani wewe? Huko kwenu hakunaga toba?
Zingatia kuwa una msimamo kama wa ma CCM. Bado hujishangai?
Hakuna alioomba toba kati ya hao sanasana kinachoonekana wanasumbuliwa na njaa
Huyu chawa wa Magufuli aliomba Toba lini? Ipo siku mtaanza kumtetea mpaka Makonda.Misahafu inaandikab dhambi nyekundu kama bendera zaweza kusafishwa kuwa nyeupe kama theluji.
Kabila gani wewe? Huko kwenu hakunaga toba?
Zingatia kuwa una msimamo kama wa ma CCM. Bado hujishangai?