Ukweli mchunguNafkiri lile wenge la forex limeisha jinsi ilivyokuja masikioni kwa watu na matarajio yaliyokwa kabla na ukweli uliopo na uliokutwa juu ya forex baada ya kuingia. Basi kwa kuwa ukweli umejulikana twende hapa, hii ni kwa wote tuliopo kwenye biashara hii tukasome kitabu hiki ambacho kimefafanua basic logics kutoka katika vitabu kadhaa muhimu vya forex na kuwekwa kwenye nakala moja kwa lugha ya kiswahili. Jinsi ya kukipata mawasiliano haya
0625934471 & 0653935820. Popote ulipo Tanzania hii.View attachment 691466
Mkuu hujaiona pm yangu,..???Hakuna anayejua nafanyeje Fx Hakuna anayenifaham mm ni nani
Natoa tu challenge ya watu kusoma sana na kujifunza kitu na kama mtu akidedicate muda wake.
Unajua nna mda gani silali nipo kwenye keyboard naisoma Fx in and out?
Forex sio kamari kama unavyosema Hakuna kamari unayosoma zaidi ya miezi 5 ili kuielewa labda uitambulishe wewe.
"And there shall never be any business/work for everyone under the sun" let alone forex! Hata ndoa sio kwa everyone sembuse forex bwan mkubwa!Ukweli mchungu
Forex is not for everyone
Forex is paying JF Family
Mkuu ahsante sana Kwa ufafanizi huu,
Ki Ukweli alichotufanyia Ontario mimi sina hata lakusema yote nimemwachia M/Mungu [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mkuu unatumia broker gani,withdraw na deposit inafanyika kwa njia hipi?View attachment 694541
Ni kweli inalipa sana.
Tazama screenshot hii yangu, Na nipe ushauri? iwapo kuna kitu ume_Observe
HapanaIvi Forex ni Moja Ya NETWORK MARKETING AU???????
Nina broker wanne tofauti, Naona PM yako umefunga.Mkuu unatumia broker gani,withdraw na deposit inafanyika kwa njia hipi?
Duuu embu ngoja nifanye harakati kuifungua PM maana naitaji madini ya FOREX Mkuu.Nina broker wanne tofauti, Naona PM yako umefunga.
Nimekutumia PM Mkuu.Nina broker wanne tofauti, Naona PM yako umefunga.
i do scalping. lakin nachez nayo kwenye time frame ya 4h and a hourView attachment 694541
Ni kweli inalipa sana.
Tazama screenshot hii yangu, Na nipe ushauri? iwapo kuna kitu ume_Observe
Kwanini usi trade "naked" mkuu? What is wrong?View attachment 691059
USDCHF 15m few pips before hitting TP the power of NY markets
chotechote unachokifanya unatakiwa kuwa na strategy zaid ya moja moja ikifeli unakuja na nyingine kuboost that what is called Pull back strategy
Usije ukatrade naked